Unakomaa na kazi kwa ajili ya Familia yako,lakini mwisho wa siku inakua ni maumivu tu
Safari za mikoani wiki mbili kila mwezi na unamke umemuacha nyumbani unakua unatuma pesa na unapata feedback za simu tu
Minjemba inakua inamega kisela,Mpaka ukirudi unakuta mkeo hana furaha nawe tu anakua...
aliongea Baraka da prince wakati Ben Pal ametoa nyimbo TATU iliyokua mbovu na hata audiance haijaipokea vizuri kabisa kua ni Bora kumshauri rafiki yako msanii asitoe nyimbo kabisa kuliko kumsifia atoe nyimbo mbovu inayo mshushia heshima yake.
Tujaribu kuangalia msanii Ali Kiba ana marafiki gani...
Alianza mziki na Hiphop Diamond platnumz alisikika zaidi na track yake ya Jisachi ambayo ilikua nzuri tu,ila ktk harakati za kutafuta pessa zaidi akaishia kubana pua.
Platnumz kwenye hii remix ya fresh amekill mbaya na ameonesha nikiasi gani yuko wide ktk styles he can rap and sing,hii ni kama...
Since first hit yake hadi sasa bill nass amekua akitoa nyimbo ambazo ukiwa umechoka na mawazo ukizisikiliza tu basi unajisikia fresh ghafla
hii track yake ya sina jambo ni kali sana kama track zake tulivyozizoea
Big up Bill nass kwani baada ya kusikiliza Zimbabwe unahitaji pia kupumzika na...
Nimekua nikipata shida sana kupata nguo nzuri za kiume madukani, kwani miaka ya hivi karibuni nguo nyingi zilizopo madukani zinazosemekanana ni za kiume zina muonekano wa nguo za kike.
Kwa mfano jeans zilizopo madukani kwa asilimia 90 ni za kishoga, ni nyembamba, zinabana matako, chini zinabana...
Msemo huu umeshika kasi sana miezi ya hivi karibuni
naombeni kujua ni nani alianzisha msemo huu,
mimi binafsi nimemsikia sana Dogo Msodoki YoungKiller akiutumia kwenye track zake
ika sijaua ni yeye au kuna mwingine muasisi
Nampa hongera huyo mtu kwani sasa msemo huu kama ni Nyimbo basi...
Nime jaribu kufuatilia uhalisia wa hili beef and who is real kuliko mwingine katika suala zima kla hiphop music and life style and free style
Binafsi nimempa Wakazi ushindi katika ushindani huu na nimemalizia kwa msimamo huu baada ya kusiliza diss tracks zao attached.
Je wewe unaona nani real...
Imechukua miaka mingi sana baada ya Radio free ya Mwanza kua radio bora kutoka mkoani na kufanya vizuri ndani ya Dar
Miaka ni Mingi sasa Ebony FM toka Iringa imekua radio number moja kwa upande ya nyanda za juu kusini na sasa imeingia Dar kwa kishindo sana
Baada ya RFA Ebony FM ndio redio...
Ni miezi mbili tu iliyopita ambapo Diamond alienda kwa makao makuu ya Mamlaka ya Mapato TRA baada ya kuitwa ili alelezee namna anavyopata mapato yake na namna gani analipa kodi ya serikali.
Diamond alipewa cheti na TRA kama dhibitisho kuwa analipa kodi ya serikali kama inavyohitajika na sheria...
JUMAMOSI TAREHE 22/4/2017
MASHINDANO YATAANZIA KIWANDA CHA MAJI YA MKWAWA
IPOGOLO NYUMA YA GEREJI YA M.T. HUWEL SAA 4 ASUBUHI
WOTE MNAKARIBISHWA.
KISHA UWANJA WA SAMORA SAA 7.00 MCHANA NA KUELEKEA:
1.TUMAINI UNIVERSITY HADI MGONGO KUPITIA KIGONZILE
2.KUTOKA IGINGILANYI- KIWELE HADI MKWAWA...
Kama kuna chuo,shule au tuition center inahitaji mwalimu wa French
yeye anapatikana Iringa kwahiyo yuko tayari kufundisha ndani ya mkoa huo tu.
Nitumie private message kama unauhitaji nitakuunganisha nae
Wadau nifanye nini?
Huu ni mwaka unakatika sina kazi, kipindi mkataba wangu wakazi unaisha nilikua na matumaini ya kupata pesa zangu kutoka mfuko wa hifadhi ya jamii ila naona suala hili limegonga mwamba ndio lilikua tegemo langu sikopesheki nina watoto na mke wananitegemea.
Hivi huu mchakato...
Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na wenzake watatu watapanda tena kizimbani leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujitetea katika kesi ya kushindwa kuhifadhi silaha inayowakabili.
Kesi hiyo ambayo upande wa utetezi inawakilishwa na wakili Peter Kibatala na...
Kuna kipindi nilikua nataka kujenga nyumba nikawa
najaribu kuulizia gharama hapa na pale on how i can make it mpaka finishing nyumba simple ya room 3
Most of my friends ambao walikua wamesha jenga walikua wanataja gharama kubwa sana ili tu ionekane nyumba zao ni gharama na wengine wanakatisha...
Tanzania ninayo ijua mimi si rahisi mtu kuvamia kituo cha habari,si rahisi kunyosheana siraha za moto si rahisi watu kutenda maovui na bado wana kaa madarakani,
Nikagundua hii nchi sio ile Tanzania labda itakua Tanzaniarapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.