Ninachoona watanzania wengi hasa vijijini ni rahisi kudanganywa, wamepofushwa kuzoea hali zao, hawajui kuwa wana hali mbaya na hawajui kwamba kuna maisha bora zaidi ya hayo. Wamekuwa blackmailed. Ni ngumu kuwatoa kwenye giza lililowafunika
1Sam 13:14: "Lakini sasa ufalme wako hautadumu; Bwana amejitafutia mtu aupendezaye moyo wake, naye Bwana amemwamuru yeye kuwa mkuu juu ya watu wake, kwa sababu wewe hukulishika neno lile Bwana alilokuamuru."
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.