Search results

  1. I

    Sauti Kubwa: Kikwete anajilaumu, angemjua vema Magufuli asingempa Urais

    Very very bad english. Are you Chinese ?
  2. I

    Kwanini watawala wanaogopa demokrasia?

    Katika nchi hususan za Kiafrika, watawala wamekuwa wakionesha uoga mkubwa wa Demokrasia ingawa ndio inapelekea wao kuchaguliwa na kuingia madarakani. Wamekuwa wakitumia nguvu kubwa hasa ya dola ili kuzima harakati zozote za kidemokrasia zinazofanywa wakiwa madarakani. Je uoga huu unasababishwa...
  3. I

    CCM wanachama wenu mbona kadi zao hazina picha?

    Kadi za CCM hazina picha kwa sababu ni "bearer" na siyo "crossed" ili zihamishike kwa urahisi NA kupunguza usumbufu wakati WA kuzifanyia shughuli.
  4. I

    Mageuzi Urusi yalikuwa Oktoba 25, Je itakuwa hivyo Tanzania?

    Mwaka 1917, tarehe 25 mwezi wa 10 yalitokea mageuzi makuba Urusi. Je tarehe 25 mwezi wa 10, itakuwa hivyo Tanzania ?
  5. I

    Mnyonge mnyongeni, hongera Kikwete kwa uboreshaji Hospitali ya Taifa Muhimbili

    Watanzania sijui tukoje ? Hivi majumba ndiyo yanayotibu watu au madaktari ? Ningeambiwa Muhimbili kuna madaktari 500 wanaolipwa vizuri na kufanya kazi ipasavyo hapo ningefurahi. Kwenye kuwekeza katika majengo kuna 40% wakati kwenye kuwekeza katika madaktari ufisadi ni kama hauko.Kwa hiyo mimi...
  6. I

    Kwanini Lissu, Mnyika, Slaa na wengine hawakuwepo kwenye mapokezi ya Lowassa?

    Mapokezi yalihudhuriwa na Wenyeviti wa vyama vya UKAWA. Makatibu na maofisa wengine walikuwa na shughuli nyingine ambazo kwa wakati huu ni muhimu. Hili linapaswa kueleweka na wale wasio wapika majungu.
  7. I

    Lowassa lini utakuja Mbeya, Mwanza, Iringa, Moro, Songea, Moshi, Arusha, Mtwara?

    Wilaya ya Ngara iko pembezoni mwa Tanzania na mara nyingi imekuwa ikisahaulika kwenye mambo mengi. Tafadhali sana tunakuomba uiweke Ngara kwenye ratiba yako wakati wa kusafiri kuelekea Ikulu. Tunakutakia safari njema na Oktoba si mbali.
  8. I

    Rais Kikwete ziarani Australia

    Kuna pending issues za Simba Trust za kumalizia.
  9. I

    Lowassa Hafai! Yes I said It - Sababu ya I

    Edward, our big problem in Tanzania is corruption, corruption, corruption and corruption. Our solution will never be Lowasa, Lowasa, Lowasa and Lowasa . Farewell Lowasa.
  10. I

    Ikulu: Eliakim Maswi hakuhusika na uchotaji fedha Tegeta Escrow

    Haiwezekani kusema hana hatia wakati orodha ya Stanbic haijatoka.
  11. I

    Kwanini uzalendo uwe ktk hela za Bunge na si Escrow au hela nyingine mbaya zaidi za kufisadi taifa?

    Hili swali naona anayetakia kulijibu si mwingine ila ZITTO ZUBERI KABWE maana yake ndiye katika historia ya siasa za Tanzania amekuja kujitokeza kama TIGHT ROPE WALKER, HOODWINKER, TRIPLE DEALER AND MANY MANY MORE.
  12. I

    Gavana: Ununuzi wa vifaa vya BVR,mitambo ya TANESCO na mabehewa ya treni sababu za kushuka shilingi

    That is a lot of hogwash. Shilingi inashuka kwa vile hela haramu zinahamishiwa nje. Yaani hakuna udhibiti kuhusu uhamishaji wa hela kuzipeleka nje. Overpriced purhases, the likes of Tegeta Escrow, Vocha haramu za akina Vodacom, na mengine mengi yanachangia kushuka kwa shilingi. Unakwenda bureau...
  13. I

    Kwa utaratibu uleule, Kiongozi mkuu wa ACT-Wazalendo awaambie vyanzo vya mapato ya Chama

    Mbona tunapoteza muda mwingi kujadili kitu ambacho kiko TRANSPARENT ? Chama cha ZZK ni ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY.Sasa kwa nini ZKK hataki kuwa transparent kama jina la chama chake linavyotufanya tuamini ? Labda nimsaidie kidogo. Barack Obama hasa ndiye mwanzilishi wa CHANGE.Lakini...
  14. I

    Kwa utaratibu uleule, Kiongozi mkuu wa ACT-Wazalendo awaambie vyanzo vya mapato ya Chama

    Yericko Nyerere Huyu ZKK katumia wadhfa wake kujua wapi kuna madini na mafuta akajimegea vitalu. Akasajili ati Not For Profit companies ili asilipe kodi. Kaanzisha chama ambacho mapato yake yanatia mashaka makubwa. Halafu anazuga Watanzania eti ni mzalendo. Kibaya zaidi ni kwamba tamko la mali...
  15. I

    Zitto: Lowassa akikatwa jina CCM, atangaze mali zake ajiunge ACT-Wazalendo (audio)

    jamani naona zito anazidi kuchezea akili za watanzania. Huo usanii wa eti kutangaza mali zake without independent verification kama vile certification by auditors ni kitu kinaitwa window dressing. Nyuma ya hilo tangazo lake kuna hela zimewekwa offshore na mali zitakuwa ziko kwenye majina ya...
  16. I

    IMF: Tanzania now 10th largest economy in Africa, up from 12th

    How is the GDP shared ? It is the individual's disposable income which matters. In other words income and wealth distribution. Not your GDP stupid.
  17. I

    Wananchi kuwakataa Zitto Kabwe na Edward Lowassa

    Kuna kila dalili kwamba hela za uma zinatumika na ACT inatumiwa kuleta vurugu kwenye siasa kwa kumtumia Zitto Zuberi Kabwe. Hivi hakuna kifungu cha sheria ambacho kinamruhusu Raia kumfungulia mashitaka ya wizi /rushwa ?
  18. I

    PINDA: Ukiwa mkaidi usilalamike pale kichapo kitakapokufikia

    I am in blood Stepp'd in so far, that, should I wade no more, Returning were as tedious as go o'er. - Macbeth, Act III, scene iv
  19. I

    Orodha ya waliopigwa,walioufungwa, waliopoteza uhai tangu tupate uhuru

    Watanzania wote kwa ujumla, Naomba tuandae orodha ya waliopigwa, waliofungwa, waliopoteza uhai na waliotendewa vibaya tangu Tanganyika na Zanzibar zipate uhuru. Nitatoa miafano:- Watu wampoteza uhai kama akina Kassim Hanga, Karume, Kleruu, Mwangosi na wengine wengi Watu wameng'olewa kucha, meno...
Back
Top Bottom