Pia hapo ulipofikia ni jambo la kushukuru sana wako ambao wanapiga mahesabu wataanzaje ila nawahakikishia sio kazi ngumu kabisa cha muhimu vijana ku punguza starehe. ...! Kila kitu kinawezekana kabisa.
Bado napambana na ndani kiukweli finishing sio mchezo ila kikubwa nikujibana tu watu wasikukatishe tamaa kabisa jambo la msingi mafundi nao upate wazuri na uwe msimamizi mzuri. Yote yanawezekana ndugu zangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.