Sumsung galaxy 3 mini, Genuine, Internal memory 8gb ikiwa na guarantee toka Sumsung. Ukiwa Arusha nitapenda tuonane nikukabidhi ili ujionee mwenyewe ni original pamoja na kufaamiana in case nina electronic receipt niliyoipata toka sumsung (pichani na utaiona).SABABU YA KUUZA: Nahitaji kununua...
Yaani tukifanikiwa katika hili mkuu, tutakuwa the world leading giant. Ni kuwa tu viongozi wenye fikra moja katika bara zima. Wazungu wanajua kuwa tuna uwezo huu kama unavyosema ndiyo maana wanacheza sana na viongozi wetu ili tusifanikiwe katika hili. Ila tutapopata viongozi wazalendo hata saba...
My Take: Tukifanikiwa kuwa na sera nzuri na uzalendo na nchi yetu, tukawa na uchungu na resources zetu na kuondoa hawa watu wanaokula 10% katika mikataba na kupelekea kutoa Tax holidays za miaka mingi hakika Africa heshima yetu itarudi. Mungu Ibariki Africa, Wafungue viongozi wetu katika kifungo...
Kabisa mkuu, nakubaliana na wewe. Ni nani anawapa hiyo mamlaka ya kulazimisha watu wafuate mfumo wao wa maisha. Kila jamii ina utamaduni wake na ilna uhuru wa kuukumbatia. Hawa jamaa wana ajenda yao ambayo sisi wa africa yatubidi tuwe makini sana.
Fikiria asilimia kubwa ya vijana wetu ambao ni nguvukazi ya taifa watapokuwa mashoga, na wajua mashoga wanajilegeza sana, hawatakubali kufanya manual work yoyote! nguvu kazi ya taifa itapotea. tutazidi kutegemea hiyo misaada yao na wao kututawala. Bora tujikomboe. Waafrika wa sasa inatubidi kuwa...
Mkuu hawa wanapumuliana lakini athari yake ni kubwa kwa jamii yetu hii. Hawa jamaa (wazungu) ni wajanja sana, wana ajenda yao ya kupunguza population ya dunia especially ya waafrika.
Sasa kwa vile wamegundua sie twapenda sana ngono na ni wepesi kuiga tamaduni ngeni wanataka kupitia huko. Amini...
Aaaagh! mambo mengine ni kuendekeza ujinga. Kuzini azini mtu mwingine halafu kuhukumiwa ahukumiwe mwingine!!! kwa kweli kwa jinsi hii UKIMWI utatumaliza watu weusi!.. Kweli "Miafrika ndivyo tulivyo..........." N.N.
SASA MKUU, NI NINI HIKI HASA MKEO ANACHOKUKWAZA HADI UFIKIE HATUA HIYO?? SBB KILA SIFA UNAYOITOA HAPA NAONA NI NJEMA. INAONESHA KUWA MAZURI YANAZIDI MABAYA. KAMA G. THINKERS WENGINE WALIVYOTANGULIA KUKUSHAURI NAMI PIA NAUNGA MKONO, WEWE JAMAA UNA BAHATI ILA UNAICHEZEA. MARA NYINGI HUWA HATUJUI...
Kwa kiasi fulani naungana nawe mkuu kuwa culture imewasaidia sababu inawafanya kujifikiria wamoja zaidi na hivyo kuwa na uzalendo ila alichosuggest mkuu Akwaba hapo kuhusu elimu naona kina ukweli kwa asilimia 97. Nilifanikiwa kuishi hapo S.Korea kwa miaka miwili, kwa kweli wenzetu wameishika...
Nashukuru mkuu kwa ushauri, ahsante pia kwa kutokukimbilia kunihukumu kama wengine wanavyofanya. naona nimepewa mawazo mengi ya sala nimeanza kuyafanyia kazi.
Mkuu tatizo watu wengine huwa ni wepesi sana kurukia kwenye conclusions zisizo halisi. na kumfanya muhitaji msaada ajisikie vibaya na hivyo kuwa hawajasaidia kitu zaidi ya kuharibu zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.