ameshinda wakaiba, unataka ushahidi, huu hapa
waliojiandikisha mil 20
waliopiga kura baada ya kuchakachua mil 8
jk kapata 5 mil
dr slaa 2 mil
waliobaki wote wako wapi? Nasema rais wangu dr slaa, huwezi badilisha hilo
piga ua, dr slaa ur my life president hadi mungu anichukue, ccm jinamizi baya...
Hata mwehu, tahira, or somebody unschooled at all atajua uwizi huu, haihitaji degree, masters degree or PhD ya kweli maana hapa TZ nyingi fake, kujua uwizi wa wazi huu, wala it doesn't need a minute to think such a huge vote rigging, wtu milioni 20 wamejiandikisha, halafu pamoja na kuiba/...
Ili NEC iwe huru na haki Bunge lijalo ambalo naamini sasa lina wabunge wakutosha kutoka vyama vya upinzani, washinikize WAJUMBE WOTE WA NEC WAPITISHWE NA BUNGE, PIA TAKUKURU, WASIPOFANYA HIVYO NI NDOTO UPINZANI KUONGOZA NCHI, MAANA NEC INAPELEKESHWA NA ALIYE WACHAGUA, HIVYO BASI WABUNGE WAJENGE...
Kumbe kweli CHADEMA walifanya utafiti kabla ya kumweka DR Slaa kugomea Urais
maana haya matokeo ya awali yanatisha saaaaaaaaana duuuuh nimeamini, huyu jamaa kiboko, JK aliwaonya Wana CCM mapema kwamba Upinzani wame weka mtu asiye na doa, kumbe JK aliona mapema, aiseeeeee
Miaka ya 1996 while in Primary school, kulikuwa na mwanafunzi mmoja hajui kabisa lolote,
yaani ni mbumbumbu, mjinga whatever you call him au Mungu hakumjalia kipaji cha kujifunza, siku moja aliibia mtihani kwa mwenzake aliye kaa karibu yake wa darasa la pili, swali la mtihani lilikuwa hivi...
Jamani CCM ni zimwi likujualo halikuli likaisha, litaendelea kutunyonya, kula, halishibi forever, for 49 yrs ndio ufukara unashamiri, but wenye CCM ni Mafisadi, matajiri wakubwa, bali wafanyakazi wote hali ngumu mno, angalia polisi wetu, wanajeshi wetu, madaktari, manesi, walimu, TRL, migodini...
:A S new::peace:My fellow home of great thinkers tujadili,
CCM wanajidai kabla ya kuchaguliwa wanasema watawatumikia ( SERVANTS ) citizens oohhhhhh
soon after election they turn MASTERS, hatuwataki hawa, wanatumia ujinga wa wananchi kama mtaji wao, wanajua watu wakipata elimu hawataweza...
JK Why you lie citizens..? Obama hakuitaja wala kuisemea TZ kwenye mkutano wa UN, nashangaa JK anadanganya, we as TZs tunashangaa kwa kusema uongo, mbona una kosa hoja? ahadi zimekwisha..? Jk nikwambie tu KURA ni ngumu saaaaaaana kwako mwaka huu, from Universities, to ordinary citizens una hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.