Duuuu!!!!!!.Kwakweli Sijui jamii tunafundishwa nini katika hili? Mungu ibariki Tanzania.Tusioweza kuwa Vubaraka Tuna wakati Mgumu sana,Na mambo haya hayapo Serikalini tu,hata katika mashirika Binafsi,Usipokuwa kibaraka hupati haki zako za msingi.Wajameni?????Kweli kazi ipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.