Habari?
Naomba kuuliza utaratibu upi unatumika kufunga laini za wateja? Maana mi laini yangu imefungwa bila sababu za msingi yaan mtu mkishindwana na wahudum wa airtel mtaani basi yeye anakomesha kwa kufunga laini yako?
Laini yangu 0688614931 imefungwa na mhudumu wa airtel eti kisa tu...
Tunahitaji t-shirts: tuwasiliane kwa maelezo zaid kama unazo au una mtu unamfaham anaweza kutusaidia kuzipata. Njoo ukiwa na dondoo zifuatazo:
1. Bei kwa tshirt
2. Hizi bei ni printed au not printed!.(ukiprint tutakupa nembo husika)
3. Unapatikana mkoa gani?
4. Nahitaji tshirt 200 size ndogo...
Ninauza TILL za:
1. M-pesa = 170,000
2. Tigopesa =140,000
3. Airtel money=55,000
4. Halopesa =50,000
5. Ttcl pesa. =50,000
Bei ni nzuri kabisa na ninapatikana Mbeya mjini. Kama unahitaji wasiliana nami inbox au 0672813467
Jamani kuna jamaa ni mwizi wa mtandao anaitwa FAUSTINE SHIJA anatumia namba 0759543321.
Anajifanya wakala wa voda na tigo halafu anaswap laini za watu na kuiba pesa zilizomo humo pia anatafutwa kwa wizi wa TILL za airtel money na tigopesa.
Popote umuonapo please toa taarifa kituo cha polisi...
wewe mwenyewe hapo ni mbishi na umebisha mpaka umeenda ku-google vinginevyo ungeishia kuangalia tu hii post. ajabu hutaki sisi tubishe ili tujiridhishe zaid kama wew
habar mkuu?. mi nataka kwenda kuishi mtwara au lindi hasa kijijin ili niweze kujishuhurisha na ufugaji wa kuku wa kienyeji na kilimo kwaajili ya chakula. Nimefanya tafiti ili niweze kuona kijiji kipi niende nikapata majibu:
1. Ng'au
2. mtoni kata ya miteja
kwa uzoefu wako ni wapi patanifaa? au...
Hivi nyie huwa mnasoma kweli kilichoandikwa au mnakurupuka tu?. Wapi kazuia waumini kuhama chama au ndo UJINGA huo alowaita? Acheni ujinga baba Askofu hapendi kabisa
1. Hivi baba Askofu amemtaja huyo K. Mkumbo au unajistukia tu!?. Jinga mkubwa wewe
2. Hujaona sababu za Baba Askofu za kuwaita nyie wajinga!?.jinga kabisa wewe
3. Yeye hajasema Mkumbo ndo mjinga wewe ndo unamtaja kwa ujinga wako! Jinga sana wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.