Wadau JF naomba kujua kwa hapa Morogoro wapi naweza kupata wi-fi ya kulipia yenye spidi ya kasi yenye uwezo wa ku-download kama 3GB file kwa dakika 15.
Msaada tafadhali
teh teh uyo alyekuuzia simu nilimsikua akisema atamkamata boya wake tu ni kwamba alibandua screen protector kwa juu kidogo alaf akabandka hyo logo ya SONY kwa ndani then akagundishia vzur sikujua kama atampata mteja kumbe kuna mtu keshaliwa pole sana kwa kupigwa kiini macho kwani alikuuzia sh ngap
sikumbuki vizuri ata mimi nilishawahi kufanya hivyo ikawa haionekan alaf nikawa babonyezabonyeza ikawa inaniletea hio flash ikae katka format gan nikafankiwa kuirudsha but sikumbuk vzur na naogopa isije ikawa niliotea
Mkuu umenikumbusha mwalimu wang wa economics sio kuwa namaanisha na wewe una lengo hilo hapa bali alisema benk zina shida sana ilkuwa kweny ishu za credit creation bank moja inatoa mkopo alaf mkopaji anakula pesa zote then anaenda kukopa kwingne kiasi cha juu kidogo af anakuja kulpa tena na...
gwud m mwenyw nlkua nawaza kununua mpango mzma ila nikawa natafta njia coz nilipo sijui signal za halotel wamezitia kachumbari nadownload hadi 1.6 mb kwa sekunde sema tu kifurush cha unlimited kinaisha hata baada ya dakika 40 after kuunga
Name : PHILIDOLINI, DIANA
Index Number : S0232.0035.2012
Institution : UDSM(COHU)
Course : BAED
Year of Study : 1
Loan Breakdown
Meals and Accommodation (MA) 2,099,500
Books And Stationary (BS) 200,000
Field Practical and Trainings (FPT) 620,000
Tuition Fee 780,000
Research 0...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.