Mwaka jana nilibahatika kuangalia mfumo wanaotumia kufanya mahesabu ya wastaafu.
Kikubwa nilichokiona ni kwamba, wafanyakazi hawawezi kulipwa mafao yote baada ya kustaafu.
Mfumo/Kanuni yenyewe iko hivi;
1. 1/580 * N *APE*12.5*33%
2. 1/580 * N *APE*1/12*67%
UFAFANUZI
1. Kanuni namba moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.