Habari za majukumu wana Jamiiforum
Nina mpango wa kuanzisha microfinance co. Ndani ya mwaka huu na nilikuwa naomba ushauri juu ya software/accounting package nzuri ambayo naweza kuitumia kuendesha hiyo microfinance.
Ni matumaini yangu wana jamvi mtanishika mkono kweny hili.
Natanguliza...
Habari za kazi wadau wa jukwaa hili
Ni matumaini yangu kuwa mnaendelea salama kabisa na juhudi za kulijenga Taifa letu.
Leo naomba tushirikiane kwenye hiyo mada tajwa hapo juu ili tuweze kuboresha usomaji wetu, usomaji huo unaweza kuwa wa vitabu au majarida mbalimbali.
Naomba kujua kwa wale...
Habari za majukumu wakuu, ni matumaini yangu kuwa mnaendelea salama kabisa na juhudi za kulijenga Taifa letu.
Mimi naomba kuuliza kuhusu wapi naweza kupata software nzuri ambayo naweza kuitumia kwenye biashara ya mikopo kwa wafanyakazi katika mikoa na wilaya mbalimbali. Pia, naomba kujuzwa ni...
Habari za kazi wakuu,
Heshima kwenu sana. Naomba ushauri kuhusu Software / Accounting Package gani nzuri ambayo ntaweza kuitumia kwenye kuendesha Microfinance.
Nitashukuru sana nikipata ushauri wenu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.