Search results

  1. Kibona

    Shule ya Sekondari Mkombozi: Sifika Danieli Rubeni alidanganya taarifa ya kuuzwa kwa nafasi yake ya kidato cha tano

    Huyu mlezi asije akathubutu kuendelea kuishi na huyu sifael atakuja kutengenezewa skendo ya kufa mtu.
  2. Kibona

    Shule zenye ada ndefu zaidi Tanzania

    Hizi shule hazitumii mtaala wa kitanzania, kwahiyo huwezi kuziona kwenye orodha ya Necta tuliyoizoea.
  3. Kibona

    Namuunga mkono Spika Ndugai, ujenzi Bandari ya Bagamoyo uendelee

    Kwasasa simwamini kikwete, Magufuli wala Ndugai. Ninachotaka ni mkataba uwekwe wazi ili tujue nani muongo nani mkweli.
  4. Kibona

    Ndugai: Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uendelee, Dkt. Magufuli alishauriwa vibaya

    Haya ndio madhara ya kuongoza watu kidikteta, siku umeondoka watu wanaanza kuongea wanachokiamini ambacho ni tofauti ni ulichokuwa unawalazimisha wafanye. Lakini ni funzo pia kwa nchi hii kuwa vetting system haifanyi kazi na matokeo yake ndio haya utawala umejaa deadwoods kibao wasio kuwa na...
  5. Kibona

    Who owns East Africa?

    Kweli kabisa ndugu yangu Chamoto, nilisha badili mawazo kitambo. Sasa hivi naona kabisa kila nchi itatue matatizo yake. Tushughulikie matatizo yetu kwa nguvu, mambo ya kuungana tuachane nayo kabisa, yatatuletea matatizo makubwa.
  6. Kibona

    Tundu Lissu asema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata

    Mie watoto wangu hawatasoma shule yoyote ya serikali as long as niko hai. Na hata chuo ntahakikisha hawasomi Tanzania.
  7. Kibona

    COCO BEACH: From City Dump to Paradise. A design proposal for a public Beach in Dar, Tanzania

    Mmmh!!! Ndugu, umeelewa hoja ya hawa waandishi? Mie mbona naona hoja yao inahalalisha Manji kupokonywa hiyo project!
  8. Kibona

    Serikali yapiga marufuku shule binafsi kufanya mitihani ya kuchuja wanafunzi

    Tanzania bado ujamaa unatusumbua. Sioni sababu kwanini serikali inaweka vikwazo vya ajabu ajabu kwa shule binafsi. Kama mwanafunzi na mzazi wake hawataki kuchujwa, si aende kwenye shule za serikali zisizokuwa na mchujo? Yaani serikali inataka shule binafsi ziendeshwe kama vile za serikali, kwani...
  9. Kibona

    Warusi Wageuziwa Kibao na Kuvuliwa Nguo Kweupe!

    Umenifurahisha sana, hebu fikiria mtu anasema kirahisi tu kuwa US akibaki peke yake atapigwa na Russia. Hii naona ni wishful thinking tu, sidhani kama watu hapa wanajua uhalisia wa wanachoongelea.
  10. Kibona

    Tetesi: Wakenya wanataka waruhusiwe kufanya kazi Tanzania bila Vibali, rais asikubali

    Walio wengi wanaishi kama wahamiaji haramu mkuu, na Marekani haina mpango wa kuwaruhusu kufanya kazi bila vibali wamexco. Kwahiyo mnaojaribu kutushawishi kuwa Tz iondoe work permit lazima msupport na hoja za msingi. Hakuna taifa lolote linalotaka kuruhusu wageni kujiingilia kiholela kufanya kazi...
  11. Kibona

    Tanzania yajitoa katika mpango wa Visa ya pamoja Afrika Mashariki

    Msimuonee Kikwete, yeye ndio aliyewapiga pini wakenya mpaka wakaamua kuanzisha CoW. Kwahiyo hapa magufuli anaendeleza tu lakini kikwete aliwadhibiti.
  12. Kibona

    Msimamo wa Rais Magufuli na Tanzania kwa Ujumla Suala la Syria na Urusi

    Siku hizi dunia imebadilika sana, Mwalimu Nyerere alikuwa anafanya yake wakati wake na ilifanya vizuri. Lakini kwa Sasa hivi watu wako bize kutafuta namna ya kujenga ma-value chain ya kibiashara au kutafuta namna ya kujichomeka kwenye yale yaliyopo tayari. Sasa ukileta upendo wa mshumaa...
  13. Kibona

    TANZIA: Aliyewahi kuwa Meya wa Dar, Dr. Didas Massaburi afariki, Rais atuma Salamu za rambirambi

    Duh kweli jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Huyu Didas si alisema Lowassa hatamaliza wiki!! R.I.P Masaburi.
  14. Kibona

    Ziara ya Mfalme wa Morocco Mohamed wa VI nchini 19-23 October, 2016

    Kaona Ulaya hawamwelewi kaamua kugeukia Africa. Baada ya jeuri ya miaka mingi kaamua kutafuta kampani ya masikini, na kwa kuanzia anatafuta mlango wa kuingilia AU.
  15. Kibona

    Tanzania yajitoa katika mpango wa Visa ya pamoja Afrika Mashariki

    Hoja anayotoa Balala kuwa Tz imejitoa kwasababu inaogopa ushindani kutoka Kenya ni mwendelezo wa upumbavu wa wakenya dhidi ya Tz. Balala amesahau kuwa Kenya ndio iliyojitoa Kwanza kwenye jumuia ya Kwanza ambayo ilikuwa imefika mbali zaidi kuliko hii. Kama wakenya wanaamini ktk umoja mbona...
  16. Kibona

    Tanzania kukataa kuweka saini EPA ni pigo kwa Kenya

    Mie sioni shida hapo, Tanzania tumeangalia maslahi yetu na si ya Kenya. Kenya nayo ilikuwa inapush hiyo EPA kwa maslahi yake na sio ya Kenya. Mie nilikuwa naupinga vibaya mkataba huo maana hauna tija zaidi ya kuja kutuulia viawanda vichache vinavyojitokeza. Na kwa kuwa sie ni moja ya LDCs bado...
  17. Kibona

    Rais Museveni: Mradi Bomba la Mafuta ghafi, utapita Kaskazini mwa Tanzania hadi Bandari ya Tanga

    Hongera sana Magufuli na wote waliowezesha bomba kupitia Tanzania. Maendeleo yanaletwa na miradi kama hii. Unapokuwa na miradi mingi kama hii unachochea ukuaji wa kiuchumi na pia ushawishi wa kisiasa na kiuchumi nao hukua.
  18. Kibona

    Tanzania opposes AU intervention force in Burundi, pushes 'political solution'

    Mie nadhani washauri CoW waache kusupport vikundi vinavyoleta vurugu Burundi maana issue ya term limits ilishavunjwa hata na Museven na kagame. Kazi yetu watz ni kuhakikisha tu kuwa nkurunziza anamaliza miaka mingine mitano bila kuondolewa na CoW.
  19. Kibona

    Ukaguzi wa vyeti feki Serikalini umeanza rasmi, waanza na Walimu

    Wasisahau orodha ya kainerugaba msemakweli
Back
Top Bottom