Haya ndio madhara ya kuongoza watu kidikteta, siku umeondoka watu wanaanza kuongea wanachokiamini ambacho ni tofauti ni ulichokuwa unawalazimisha wafanye. Lakini ni funzo pia kwa nchi hii kuwa vetting system haifanyi kazi na matokeo yake ndio haya utawala umejaa deadwoods kibao wasio kuwa na...
Kweli kabisa ndugu yangu Chamoto, nilisha badili mawazo kitambo. Sasa hivi naona kabisa kila nchi itatue matatizo yake. Tushughulikie matatizo yetu kwa nguvu, mambo ya kuungana tuachane nayo kabisa, yatatuletea matatizo makubwa.
Tanzania bado ujamaa unatusumbua. Sioni sababu kwanini serikali inaweka vikwazo vya ajabu ajabu kwa shule binafsi. Kama mwanafunzi na mzazi wake hawataki kuchujwa, si aende kwenye shule za serikali zisizokuwa na mchujo? Yaani serikali inataka shule binafsi ziendeshwe kama vile za serikali, kwani...
Umenifurahisha sana, hebu fikiria mtu anasema kirahisi tu kuwa US akibaki peke yake atapigwa na Russia. Hii naona ni wishful thinking tu, sidhani kama watu hapa wanajua uhalisia wa wanachoongelea.
Walio wengi wanaishi kama wahamiaji haramu mkuu, na Marekani haina mpango wa kuwaruhusu kufanya kazi bila vibali wamexco. Kwahiyo mnaojaribu kutushawishi kuwa Tz iondoe work permit lazima msupport na hoja za msingi. Hakuna taifa lolote linalotaka kuruhusu wageni kujiingilia kiholela kufanya kazi...
Siku hizi dunia imebadilika sana, Mwalimu Nyerere alikuwa anafanya yake wakati wake na ilifanya vizuri. Lakini kwa Sasa hivi watu wako bize kutafuta namna ya kujenga ma-value chain ya kibiashara au kutafuta namna ya kujichomeka kwenye yale yaliyopo tayari. Sasa ukileta upendo wa mshumaa...
Kaona Ulaya hawamwelewi kaamua kugeukia Africa. Baada ya jeuri ya miaka mingi kaamua kutafuta kampani ya masikini, na kwa kuanzia anatafuta mlango wa kuingilia AU.
Hoja anayotoa Balala kuwa Tz imejitoa kwasababu inaogopa ushindani kutoka Kenya ni mwendelezo wa upumbavu wa wakenya dhidi ya Tz. Balala amesahau kuwa Kenya ndio iliyojitoa Kwanza kwenye jumuia ya Kwanza ambayo ilikuwa imefika mbali zaidi kuliko hii. Kama wakenya wanaamini ktk umoja mbona...
Mie sioni shida hapo, Tanzania tumeangalia maslahi yetu na si ya Kenya. Kenya nayo ilikuwa inapush hiyo EPA kwa maslahi yake na sio ya Kenya. Mie nilikuwa naupinga vibaya mkataba huo maana hauna tija zaidi ya kuja kutuulia viawanda vichache vinavyojitokeza.
Na kwa kuwa sie ni moja ya LDCs bado...
Hongera sana Magufuli na wote waliowezesha bomba kupitia Tanzania. Maendeleo yanaletwa na miradi kama hii. Unapokuwa na miradi mingi kama hii unachochea ukuaji wa kiuchumi na pia ushawishi wa kisiasa na kiuchumi nao hukua.
Mie nadhani washauri CoW waache kusupport vikundi vinavyoleta vurugu Burundi maana issue ya term limits ilishavunjwa hata na Museven na kagame. Kazi yetu watz ni kuhakikisha tu kuwa nkurunziza anamaliza miaka mingine mitano bila kuondolewa na CoW.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.