Jamani na mimi ninashida hiyo naomba msaada, ni kijana mwenye 31 yrs, nililelewa na baba wa kambo mama aliniandikisha kwa jina la baba wa kambo kwenye birth certificate, sasa nimekuwa yule baba alifariki na mama pia so najiona sibelong kabisa huko kwa baba wa kambo kwani wananitenga na mama...
Kumbuka mambo yanaenda yakibadilika kila siku, miezi sita iliyopita CHADEMA kabla Dokta Slaa hajatambulishwa mgombea urais haikuwa CHADEMA ya leo, kila siku kuna mabadiliko makubwa watu wanazidi kujua mengi na wanabadilika pia kutokana na awareness.
Sipingi wala kukubali tafiti hizo bali nataka...
Kwa kweli tuwe tunaongea kwa uhakika humu ndani, ninavyofahamu synovate ilikuwa ikidhaniwa kukibeba chama tawala hii ni SAWA.
Synovate imepata kazi kutoka shirika la kimataifa kufuatilia vyombo vya habari vinavyoripoti uchaguzi hii pia sawa
Waandishi wa habari wakaanza kulalamika kwa nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.