Search results

  1. K

    Serikali kukosa mchango wa dawa toka USAID

    Hii kitu itaadimika kama sukari sasa [emoji119]
  2. K

    Natafuta shule za English Medium Tabora

    1.St. Francis 2. Temi hill 3. Westlands Hizo ni best
  3. K

    Rais Magufuli ateua Wakuu wa Mikoa, Makonda apangiwa Dar

    Kuweka Kumbukumbu Sawa, Kateua Mwanamke Mmoja Anna Kilango! Hao Wengine Wanaendelea Na Nafasi Zao, Uteuzi Wa Jk
  4. K

    William Ngeleja atangaza nia ya Urais kutoka viwanja vya BOT jijini Mwanza

    Maswali ya Hawa waandishi!!!! Maswali magumu hv kwenye sendoff Wametumwa?
  5. K

    William Ngeleja atangaza nia ya Urais kutoka viwanja vya BOT jijini Mwanza

    Tanesco wameamua kumkumbusha enzi zake wamekata umeme
  6. K

    William Ngeleja atangaza nia ya Urais kutoka viwanja vya BOT jijini Mwanza

    Mnao angalia live umeme umekatika !!!! Hapa ukumbini standby generator limewaka ila star tv hawaja kaa sawa. Muda huu aaongea chief Kafipa
  7. K

    William Ngeleja atangaza nia ya Urais kutoka viwanja vya BOT jijini Mwanza

    Sasa ulitaka waje kwa ngamia kutoka Sengerema?
  8. K

    William Ngeleja atangaza nia ya Urais kutoka viwanja vya BOT jijini Mwanza

    Kaulimbiu kwenye mabango yake hapa ukumbini ni ... "MAONO SAHIHI, MIKAKATI TULIVU, MATOKEO HALISI" MMM
  9. K

    William Ngeleja atangaza nia ya Urais kutoka viwanja vya BOT jijini Mwanza

    Mtangazania wakili Msomi William Ngeleja keshaingia ukumbini, akiambatana na mkewe na binti yake, pamoja na mpambe wake wa karibu Dr. Festus Limbu, mbunge wa Magu. Meza kuu pia amekaa chief mkuu wa Wasukuma, mzee Kafipa na mwenyekiti wa wazee mkoa wa Mwanza, mzee Masalakulangwa. Matangazo...
  10. K

    Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Uyui adaiwa kulawiti

    Mbona huyu mussa ntimizi ni shoga mzoefu, atakuwa katengeneza story aonekane nae mzima
  11. K

    Mbunge wa Nkenge Assumpter Mushama, fedha zetu ziko wapi?

    Mchungaji Assumpter shunju mshama 2010 ndie mbunge alie chaguliwa kwa kura nyingi kuliko wabunge wote Tanzania alipata 94.6% ya kura zote.
  12. K

    Wakili wa ESCROW, Gabriel Mnyele aliyetuhumiwa kumuua mkewe ashinda rufaa

    Tuesday, December 28, 2010 9:48 PM Mnyele alifutiwa adhabu hiyo mbele ya Jopo la Majaji watatu wa Mahakama ya Rufaa Jaji Salum Massati, Mbarouk Mbarouk na Benard Luanda baada ya kutengua hukumu ya Mahakama Kuu juzi. Mahakama ilifuta hukumu hiyo baada ya kuridhika na utetezi wa mawakili wa...
  13. K

    Tanzia: Ben Kiko afariki dunia

    Tanzia Aliekuwa Mtangazaji maarufu wa radio Tanzania (TBC) mzee BEN KIKO amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo 31/10/2014 kwenye hospital ya jeshi mirambo Tabora. R.I.P BEN CHANZO: TBC
  14. K

    Uchakachuaji wa Rasimu ya Katiba huu hapa

    Sita hagombei tena , safari hii jimbo anagombea mkewe "wakukaja" magreth simwanza .
  15. K

    Rwanda yada Mtikila ndiye mwandalizi wa mikakati, mipango na mikutano kati ya Kabiligi na FDLR

    EXCLUSIVE: Tanzania Hosts More Meetings For FDLR With ICTR Convicts After hosting former premier Faustin Twagiramungu, then the Rwanda National Congress (RNC) the Tanzania’s elite establishment has linked up the FDLR rebels with convicts of the International Criminal Tribunal for Rwanda...
  16. K

    RC Tabora na Mkiti wa CCM Mkoa Tabora Hapatoshi!

    CAG kesha waleta ernest&young
  17. K

    RC Tabora na Mkiti wa CCM Mkoa Tabora Hapatoshi!

    CAG kesha waleta ernest&young
Back
Top Bottom