Mancity vs QPR 2012...Mancity anachkua ubingwa baada ya miaka kadhaa magoli yakiwekwa kimyani Na Aguero Huku upande wa pili man u dhidi ya sunderland ameshinda anamsikilizia Mancity apigwe Au atoe sare man u anyangue kwapa.
Dakika ya 85 channel ya canal sport wanaikata screen katikati kuonyesha...
Kwa sisi waislam tuafundishwa Mungu ameiweka Furaha sehemu mbili tu.
1:Kumtaja sana Mungu/kuabudu
2:Kuwa na mwanamke mzuri na MWEMA/MCHAMUNGU
Furaha imefichwa sehemu hzo mbili,na hii ni kweli.
Hata mseme nn hatuachi kuabudu Mungu aliyetuumba,wewe kma unaona ni upuuzi umekuja Na meli ni Sawa ila tu mkumbuke kufa utakufa Na utaenda kueleza hzo Akili za kuabudu mizimu Na mawe ulizipata wapi?
Yan shida yenu mturudishe Kwenye upuuzi wenu wa kuabudu mawe,miti Na mizimu?...Huu ni ujuha wa hali ya juu,hebu tuache Huu upuuzi.
Tunajua kwamba hii yote ni kutaka kujifariji kuaminisha watu kwamba Mungu hayupo ili uwe huru.
Yan ni hivi,
Mungu yupo
Kifo kipo
Siku ya hukumu ipo
Pepo Na moto...
Kabisa mkuu...yan watu wa Hivi wana unafiki wa hali ya juu,hv kma ni kweli jamaa alikuwa anatumikia jeshi la wazayuni hv atakuwa ameuA waoalestina wangapi? Hv wale palestines ni mawe?
Watu wamekaza tu "mtanzania mwenzetu" unafiki mkubwa
The power ndo kiboko ila inatakiwa utumie akili kubwa kukisoma maana kuna mahali kinakutoa kweny imani ya kuamini Mungu muumbaji.
Me kimenishinda pale kweny kushika jiwe kila usiku kabla kulala...kiufup kinasisitiza sn mtu kutoa shukran ila hakisemi kwamba hzo shukran uzipeleke kwa Mungu...
Kwenye janga la chanjo ya corona waathirika:
(1)80% Wasomi na watu wenye uwezo wa kati kimaisha na matajiri
(2) 20% watu wa kawaida wenye maisha ya chini wenye elimu ya kawaida au wasio na elimu kabisa.
Kujua kwingi mbele kiza...
Muanzisha uzi naomba nikujibu kwa kifupi sana naamini utaelewa.
Ni hivi,kwanza lazima uelewe kwamba Mungu alianza kumuumba mwanaume kwanza then kutokana na huy hyo mawanaume ndo mwanamke akafuatia.
Lakini baada ya uumbaji huo mwanaume ndyo mtu pekee aliyesimikwa uongozi/ukubwa ili...
Mkuu nikwambie tu wewe tv unazijua vzr sana.....Naona watu wamekomaa tu na brands zinazotrend ila inaonekana hawaijui vzr Skyworth,hii ni bonge ya tv kiukweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.