Search results

  1. D

    Yaliyojiri Mwanza: Mkutano Mkuu wa Baraza kuu CHADEMA - (Uchaguzi wa Katibu Mkuu wa Chama)

    Asante Molemo kwa taarifa hii. Watanzania tunasubiria kwa hamu kubwa kumfahamu Katibu Mkuu wa CHADEMA.
  2. D

    Mbowe kuzungumza na Taifa kupitia waandishi wa habari makao makuu CHADEMA leo

    Kamanda wa Anga Mh Mbowe hajawai kutuangusha. Ni kiongozi jasiri na makini saana. Amekuwa mbunifu siku zote na anawaweza magamba sawasawa. Asante kamanda Mbowe hakuna kulala mpaka makurunzinza waondoke.
  3. D

    CCM wakimbilia mahakamani kuzuia uchaguzi wa Meya kesho

    Mahakama imefanya vema kabisa. Hongera Mahakama.
  4. D

    CCM wakimbilia mahakamani kuzuia uchaguzi wa Meya kesho

    Hawa magamba ni hatari saana. Hivi wanadhana tupo mfumo wa chama kimoja. Wakubali kushindwa waache figisufigisu zao za hovyohovyo. UKAWA LAZIMA WAONGOZE JIJI WANA MADIWANI WENGI ZAIDI YA 11. NI AIBU KWA CCM KUSHINDWA KUHESHIMU PRINCIPLES ZA DEMOKRASIA.
  5. D

    Televisheni ya Star TV yatuhumiwa kuchochea vurugu kwa kumkashifu Edward Lowassa

    The good thing hizi ni evidence za kuanzia kwa ICC.
  6. D

    Televisheni ya Star TV yatuhumiwa kuchochea vurugu kwa kumkashifu Edward Lowassa

    Waungwana wanasema usirushe mawe wakati umekaa nyumba ya vioo. Diallo, ccm na star Tv angalieni chuki na hasira mnayoeneza dhidi ya mabadiliko na Lowassa
  7. D

    Televisheni ya Star TV yatuhumiwa kuchochea vurugu kwa kumkashifu Edward Lowassa

    Nguvu ya umma ikiwashukia ccm wasilalamike
  8. D

    Televisheni ya Star TV yatuhumiwa kuchochea vurugu kwa kumkashifu Edward Lowassa

    Nilipoona Tangazo hili la Star Tv likinuhusisha Lowassa na Mwalim Nyerere kuhusu udini nilikua na maswali haya; 1: huyu mmiliki wa star Tv anajua kuna maisha baada ya uchaguzi? 2: hivi kwanini Star Tv wameamua kufsnya uchochexi unaojenga chuki na hasira kwa jamii? 3: hivi kwanini TCRA na Tume ya...
  9. D

    Televisheni ya Star TV yatuhumiwa kuchochea vurugu kwa kumkashifu Edward Lowassa

    Nilipoona Tangazo hili la Star Tv likinuhusisha Lowassa na Mwalim Nyerere kuhusu udini nilikua na maswali haya; 1: huyu mmiliki wa star Tv anajua kuna maisha baada ya uchaguzi? 2: hivi kwanini Star Tv wameamua kufsnya uchochexi unaojenga chuki na hasira kwa jamii? 3: hivi kwanini TCRA na Tume ya...
  10. D

    Hivi ni kwa nini UKAWA wanaogopa Lowasa Kushiriki midahalo?

    Lowassa na WAKULIMA Lowassa hapendi porojo amesema kauli mbiu zimekua nyingi. Amesema akishika madaraka baada ya kuchaguliwa atafuta kodi kwenye pembejeo zote zote za kilimo. Pia atafutilia mbali ushuru na tozo mbalimbali kwenye mazao ya kilimo ambazo hazina tija. Huyu ndie Lowassa watanzania...
  11. D

    Nimepigiwa Simu nitafute watu 50 kuwakampeni UKAWA

    Magamba Edo kawabana vizuri tulieni dawa iwaingie. Watanzania tulishaamua tunamtaka Lowassaaaaaaa hao wengine tumewachoka
  12. D

    Special thread: Kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA/UKAWA nchi nzima kuelekea 25 Oktoba, 2015

    Lowassa na Walimu, Lowassa anakerwa kuona miaka nenda rudi walimu wanadai haki zao. Ameahidi kunaliza kabisa tatizo hilo, pamoja na hilo amesema kazi ya ualimu lazima iheshimiwe na walimu kupewa makazi bora, mishahara yenye akili na mazingira mazuri ya kazi. Huyo ndie Lowassa watanzania...
  13. D

    Maandamano tarehe 7 Sept, 2015 kuelekea ofisi kuu za CHADEMA

    Ccm tulieni dawa iwaingie fresh, watanzania wameichoka ccm vibaya mnooooooo
  14. D

    Hivi ndivyo ilivyokuwa uzinduzi wa kampeni za Esther Bulaya, jimbo la Bunda Mjini

    Hongera Bulaya lazima Wassira akae pembeni
  15. D

    Yaliyojiri Mkutano wa Edward Lowassa na wanawake wa DSM kutoka Ukumbi wa Millenium Tower

    say no kwa mitumba ccccm say no kwa wachovu magamba ccccm say no kwa waropokaji wadini, wakabila, na wabaguzi say no kwa chama kilichoshindwa kumaliza matatizo ya watanzania na kubakia na ahadi hewa kila mwaka. Hakuna kipya chama cha kijani chama kilicholea ufisadi, umaskini, ufukara, huduma...
  16. D

    Yaliyojiri Mkutano wa Edward Lowassa na wanawake wa DSM kutoka Ukumbi wa Millenium Tower

    Lowasssssssssssssssssssssssssssssssaaa the next President. Watanzania hatuwezi kuchagua ccm tena hawana jipya hawana nia ya dhati kumkomboa Mtanzania. Ahadi zao tumezichoka hawana weledi na mfumo wa kutekeleza wanayayaongea. Mh Lowassa ndio changuo la watanzania. The Game Changer Lowassa and UKAWA
Back
Top Bottom