Search results

  1. TUKUTUKU

    Ya Musiba na gazeti la Kangura na radio RTML huko Rwanda 1990

    Mh! Huu ndiyo ubishi wa kijinga, unaposema Rwanda hapakuwa na chama kilichoitwa Mbona unabisha bila hoja? Soma historia ya Rwanda upate ABC badala ya kubisha kama zuzu! Kwani chama tawala cha Rwanda kabla ya Genocide ya mwaka 1994 kilikuwa kinaitwaje? MRND ( in france language 'Mouvement...
  2. TUKUTUKU

    Dr. Kigwangalla: Watu wetu wakivuka kwenda kuvua samaki wanauawa, Sasa wakao Wakivuka tutajua cha kufanya

    Sioni busara ya kiongozi! Ugomvi wa Nchi na Nchi hauwezi kuwa kama ugomvi wa mtaani!
  3. TUKUTUKU

    Nabii wa Afrika Kusini Atabiri kifo kwa kiongozi wa kisiasa Tanzania

    Ni sawa Mkuu, ingawa mimi nilisikia tofauti kidogo, kwenye nani ataanza kufa!
  4. TUKUTUKU

    Nabii wa Afrika Kusini Atabiri kifo kwa kiongozi wa kisiasa Tanzania

    Atakufa au atauwawa? Akifa au akiuwawa then what? Mbona utabiri ulikuwa haujajitosheleza? Au mnashindwa kuuelezea vizuri?
  5. TUKUTUKU

    Nabii wa Afrika Kusini Atabiri kifo kwa kiongozi wa kisiasa Tanzania

    Toa maelezo ya kutosha tukuelewe Mkuu!
  6. TUKUTUKU

    Rais Dkt. Magufuli awasili mkoani Dodoma

    Teh teh teh!Habari za Burundi mkuu?vipi amani imerejea huko?
  7. TUKUTUKU

    Kwa ulinzi huu, Magufuli yupo salama kabisa

    Mkuu hauko sahihi, Ariel Sharon hakuuwawa,alikaa miaka minane hospitali bila kujitambua, alifariki 11/01/2014. Waziri Mkuu aliyeuwawa alikuwa anaitwa Yitzhak Rabin, aliuwawa tarehe 04/11/1995. Aliuwawa na kijana anayeitwa Yigal Amir.
  8. TUKUTUKU

    Suzani Kiwanga: Mbunge wa Kishapu sio raia wa Tanzania

    Mkuu Kiwanga siyo Mbunge wa Viti Maalum,huyu ni Mbunge wa Jimbo la Mlimba lililopo katika Mkoa wa Morogoro! Wakati mwingine muwe mnajaribu kupunguza u ngese wenu!
  9. TUKUTUKU

    Kubomoa Naura Spring Hotel ni komoakomoa sio bomoabomoa

    Teh teh teh!Kitu muhimu kinachoangaliwa katika kutafsiri sheria ni lengo la kutungwa kwa sheria husika, ukitafsiri sheria kama juha unaweza kujikuta hufikii malengo ya sheria husika. Je unajua lengo la kuondoa shughuli za kibinadamu ndani ya mita sitini kutoka mtoni? Je sheria hii ipo applicable...
  10. TUKUTUKU

    Hotuba ya Muammar Gaddaffi ndiyo iliyonitoa machozi

    *Hata kama hakuna kiongozi wa Africa aliyetenda mazuri kama yeye lakini ukweli unabaki palepale, ni kweli aliwatendea watu wake mazuri, lakini pia alifuja rasilimali za nchi. *Nyerere kwa aliyoyafanya kuhusiana na Biafra na alichokifanya Gadafi kwenye vita ya Tanzania na Uganda, hawa wote wawili...
  11. TUKUTUKU

    Kubomoa Naura Spring Hotel ni komoakomoa sio bomoabomoa

    Costs/ benefits analysis ndiyo inafaa itumike, vinginevyo itakuwa nchi ya majuha
  12. TUKUTUKU

    Mwenye CV ya Saed Kubenea anisaidie

    Teh teh teh!hakuna binadamu ambaye hana CV,labda hujui nini maana ya CV!
  13. TUKUTUKU

    Hotuba ya Muammar Gaddaffi ndiyo iliyonitoa machozi

    Mkuu soma kwa makini nichoandika,wapi nimesema alikuwa Gaidi? Mh!Kweli JF inawatu wa ajabu!
  14. TUKUTUKU

    Hotuba ya Muammar Gaddaffi ndiyo iliyonitoa machozi

    Mkuu! mimi nimepangilia hoja zangu vizuri,nimemkosoa gadafi katika maeneo manne,kipi kati ya hivyo nilivyovielezea hakiko sahihi? *Libya ilikuwa na katiba iliyoruhusu demokrasia? *Gadafi na familia yake hawakujilimbikizia mali? *Gadafi hakuwa upande wa Uganda wakati wa vita vya Tanzania na...
  15. TUKUTUKU

    Hotuba ya Muammar Gaddaffi ndiyo iliyonitoa machozi

    Naona kwa mbali kama picha ya Osama Bin Laden na Murah Omar!
  16. TUKUTUKU

    Hotuba ya Muammar Gaddaffi ndiyo iliyonitoa machozi

    Ukisoma harakaharaka bila kutafakari kwa makini unaweza kuona Gadafi alikuwa mtu mwema sana na hakuwa na hatia. Yaliyoandikwa kwenye hotuba yake baadhi yana ukweli,baadhi ni uongo mtupu!Baadhi ya mapungufu ya kiongozi huyu yalikuwa kama ifuatavyo: *Huyu jamaa alikuwa anafuja rasilimali za nchi...
  17. TUKUTUKU

    Waziri Mkuu aahirisha kuapa na Uchaguzi wa Mameya nchi nzima

    Teh teh teh1kuhairisha uchaguzi ndiyo hapa ni kazi tu?Zanzibar mmehairisha na huku mmeanza mizengwe yenu kwa kisingizio cha hapa ni kazi tu,acheni kuivuruga nchi!
  18. TUKUTUKU

    Wenyeviti wa CCM mikoa yote, Wataoa Pongeza kwa Rais MAgufuli, Makamu wake Mama Samia Suluhu

    Sioni ukali wa tamko,kichwa cha habari hakiendani na habari yenyewe!
  19. TUKUTUKU

    Baada ya mjumuisho wa matokeo sasa ni wazi Mbatia alikuwa akiidhoofisha NCCR Magauzi

    Mkuu tumekesha tukipambana ili Lowassa ashinde bila kujali kuwa hakuwa Mkatoliki mwenzeu,leo hii imekuwa Magufuri ni rais wa sisi wakatoliki?Acha ungese mkuu!
  20. TUKUTUKU

    JWTZ, wafanikiwa kutegua bomu lililokuwa limetegwa visiwani Zanzibar

    Hivi huyu Jecha Salum Jecha anajua mshindi halali wa uchaguzi wa Zanzibar? Hasituletee stori za Kivuito wa Kenya!
Back
Top Bottom