Search results

  1. W

    King, Crown Prince congratulate Samia Hassan on becoming Tanzania President

    The Crown Prince HE Muhammad bin Sulaiman, deputy prime minister and minister of defense has congratulated Madam Samia Suluhu Hassa for becomming President of Tanzania. Below is the quote from the Saudi gazette. "RIYADH — The Custodian of the Two Holy Mosques King Salman has sent a cable of...
  2. W

    Tetesi: Wafanyakazi Serikalini Zanzibar Walazimishwa Kuichagua CCM

    Salaam, Hii ni mara ya tatu naandika huu uzi lakini unafutwa sijui kwa nini! Ujumbe ninaotaka kuufikisha kwenu ni kwamba wafanyakazi wa serikali Zanzibar na hasa Pemba wameelezwa na mabosi wao wa kazini kwamba ni lazima wamchague Magu pamoja na Mwinyi kwenye uchaguzi huu. Kwa mujibu wa...
  3. W

    Wapemba wamtaka Maalim Seif apumzike kugombea urais

    Salaam wana JF. Muelekeo wa kisiasa Zanzibar sasa unaelekea kugeuka. Pamoja na kwamba Maalim Seif bado anapendwa na kuheshimiwa na Wazanzibari walio wengi, wengi wa Wazanzibari wanaona kwamba Maalim Seif kwa hulka yake ya 'kujawa na uislamu' kunarejesha nyuma, kunachelewesha au kuzorotesha...
  4. W

    Tanzania Human Rights Violations Addressed

    Tanzania Human Rights Violations Addressed at the 40th Session of the Human Rights Council conference The United Nations High Commissioner for Human Rights, Michelle Bachelet, addressed the human rights violations in her statement to the 40th session of the Human Rights Council conference held...
  5. W

    Nunua nunua kuhamia Zanzibar?

    Salam wana JF. Kwa mujibu wa Maalim Seif, nunua nunua tayari imehamia Zanzibar ila kuna dalili kwamba kazi ya kushawishi wabunge wa upinzani kwa upande wa Zanzibar kuunga mkono juhudi ni ngumu zaidi ukilinganisha na Tanzania bara. Kwa nini wapinzani Tanzania bara wanunulike kirahisi...
  6. W

    Journalist reported missing in Tanzania

    By Associated Press December 4 at 11:14 AM DODOMA, Tanzania — A news organization in Tanzania says one of its journalists is missing after he was kidnapped from his home. Francis Nanai, executive director of Mwananchi Communications Limited, said Monday their reporter Azory Gwanda, 42, was...
  7. W

    Wanasheria Zanzibar sasa kusaka njia kujitoa Muungano

    kutoka ukurasa wa Zanzibar Daima: Wanasheria Zanzibar sasa kusaka njia kujitoa Muungano Kamati ya manasheria mashuhuri wa Zanzibar ina dhumuni la kusimamia mpaka kufanikiwa kwa madai ya wazanzibari ya kurejeshewa: • Mamlaka Kamili ya Zanzibar (Sovereign Zanzibar) • Katiba Mpya ya kidemokresia...
  8. W

    The World silence about Zanzibar, a worry or betrayal?

    By Angela John, Student of Politics and International relations, University of Nairobi, Kenya. The People of Zanzibar have passed through bitter road in the struggle for their Human Rights and complete realization of democracy and rule of law sicne Tanzania has declared multiparty politics in...
  9. W

    Zanzibar: Askari Polisi ajidhalilisha, apokea rushwa mbele ya Camera

    #ZanzibarPolice #corruption #Zanzibar #Tanzania Although Zanzibar was a beautiful place to visit, officials were trying to take bribes from the moment we landed (like the Yellow Fever scammers in Arrivals, then the car hire scammers in the airport car-park). That may explain my frustration at...
  10. W

    Vurugu zaikutanisha CUF, SMZ Pemba

    Zanzibar: Wakati Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharrif Hamad akipata mapokezi makubwa baada ya kuwasili Pemba kuanza ziara ya kikazi ya siku nne, vurugu zimesababisha viongozi wa chama hicho na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kuungana kuzipatia ufumbuzi. Maalim Seif...
  11. W

    Wapemba kulazimishwa kupiga kura?

    Wana JF, napenda kuwajuza yanayotokea kisiwani Pemba ni kwamb Wafanyakazi wote wa serikali ya SMZ wamelazimishwa kuwasilisha vitambolisho vyao vya kupigia kura kwa wakuu wao wa kazi ili nambari za vitabulisho hivyo zisajiliwe. wa kweli haijaeleweka lengo la CCM kufanya hayo hasa ni nini...
  12. W

    Bodi ya MCC yainyima Tanzania fedha za msaada

    Habari ilopo ni kwamba Tanzania wamenyimwa msaada wa MCC kwa sababu ya suala la Uchaguzi wa Zanzibar pamoja na cyber crime legislation. ========================
Back
Top Bottom