Moja ya mikoa ambayo sasa naiweka kwenye ratiba zangu nikipata hata pumziko la siku Moja ni dodoma aiseee Kuna sehem Kuna supu ya ulimi ni noma kweli kweli[emoji28][emoji28]
Ninapita pale Kila siku na ninajiuliza Kila siku yaani Kuna watu wababe aiseee na ninadhani mfumo wetu uko hoi sana na anzia kwenye pale kwenye soko la zakihem hazifunguliwa kumbe Kuna wajanja walishanikabidhi kabla ya kuwapa wale waliokuwepo k
Mwanzo akili za ccm na serikali yake zimekwama...
No bad ila umeniwahi
Nawatakia Heri ya Christmas [emoji319] na mwaka mpya Kwa Wana wooooooote niliowakuta humu na walionikuta humu Niko kitambo na Mimi tangu 2018
Kazi hii kumbe hata mwalim Nyerere aliacha huyu mpiga kelele Kila siku hakuna anaweza fanikisha wanapenda kusumbua watu bila sbb za maana
Kuna Ile alisema kuhusu mabasi kuwa na ofis zao nje ya kituo kikuu Cha mbezi alisema watamtambua Kiko wap
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.