Punguza bangi, report ya CAG ni ya kitaaluma, anachokiandika anaambatanisha na ushahidi, usilete mihemko kwenye mambo ya kisomi. Rudi darasani...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wanahaingaika kutuchonganisha,nawahakikishia hawataweza. Asiyejua umuhimu wa amani asiende mbali angakieni hapo DR Congo.
Tanzania tunapenda amani kuliko kitu chochote
Sio kirahisi hivyo kuwa unaweza kuwa isolate hao jamaa halafu ukapiga hatua.... Eti unasema watunyime tu.... Not easy... Ni nani aliyewahi kuwatunishia misuli hao jamaa akatoboa?... Tucheze game hii kwa akili tutaumia wala haichukui muda..
Katika watu ambao sikuwahi kudhani ni wachumia tumbo ni Mtatiro, nilijua heshima aliyopewa CUF ni kubwa na labda yeye ndiye angekuwa mrithi wa akina Lipumba na maalim Seif huko badae. Zitto peke yake ndio namuona atafia upinzani wengine siwaamini sana,.
Jafo unapotea ni ngumu sana kuwaambia watu waache utamaduni wao, watakuona mbaya. Dili na mengine bro hili utapotea.
Kuna siku nilikuona airport Dar kumbe ningekupa mkono ungenitosa.... Ningekuchukia maisha yote na ningehisi ni dharau ya madaraka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.