CAG kadanganywa na watu wake. GGM wanalipa kodi hizo na kwa miaka 5 mfululizo GGM wamekuwa wakipokea zawadi wa kuwa walipakodi wakubwa. GGM wanalipa Cooparate taxi ya 30% kila mwaka. Sasa CAG sijui anamaanisha nini kuwa hakuna mgodi unalipa kodi kutokana na faida.
Kwa taarifa yako tu. Hayo makontena hayajakamatwa. Hayo makontena yako hapo tangu rais alivyotoa zuio la kusafirisha mchanga ya migodini nje ya nchi. Wakati agizo linatolewa makontena hayo yalizuiliwa kusafirishwa.
Hivyo hiyo sio habari tena.
Kimsingi Harriers na Lexus hadi 2008 ni gari sawa. Lezus ilikuwa ni kwaajiri ya soko la Marekani zaidi. Lkn gari hiyo hiyo ilikuwa inatengenezwa kwa hina la Harrier kwa soko la japan. Kuanzia 2008 kuendelea Lexus sasa hivi inatengenezwa Japan na zimekuwa brand 2 tofauto lkn ni mali ya Toyota...
Jeuri inayoneshwa na jpm juu ya uharifu wa Bashite inatokana na ukweli kuwa hakuna mtu wa kushindana naye katika kinyang'anyiro cha muhula wa pili cha urais. Maana kuna wana ccm wengi kitendo cha leo hawajakubaliana naye. Lkn sasa watafanyaje na ndio wameingiwa mkenge wa kubadili kifungu cha...
Asante. Niwajibu wetu kushukuru. Unajua ningeliweza kuuliza na watu wakakaa kimya na ni haki yao. Lkn mtu anapotoa muda wake na kukushirikisha kuona ni vyema akuahirikishe kile anachokijua hatuna budi kushukuru kwa utu wake na uungwana wake wakujali wengine.
Asante mkuu. Nikushukuru kwanza kwa kwa ushauri wako na uvumilivu wako kwa maswali yangu. Yawezekana maswali mengine yalikuwa ya level ya chini kabisa lakni hukujali. Pamoja na wengine mliochangia juu ya maswali yangu.
Michango yenu imekuwa ya manufaa kwangu na naendelea kuipokea. Nimejifunza...
Hahhaha. Nimependa hiyo "kwani unataka kufanya school basi." Mkuu nina watoto 2. Sasa nikiwa na watu wazima wa kubeba mbali na mke wangu naona kama itabidi nyuma wapakatane.
Hivyo ndio maana natafuta 7 seaters ili siku nikiwa na wageni wasio na isafiri na ikalazimika kupanda wote na familia...
Shukurani kaka Mshana. Naomber ushauri wako tena. Kluger 2.4 na Suzuki escudo aliyoiongelea hapo juu. Hipi ni nzuri zaidi. Bajeti yangu haizidi 25m. Lkn nahitaji gari ya juu (midsize suv kama kluger na suzuki escudo) iwe ni 7 seaters.
Vipi kuhusu spear na ulaji wa mafuta. Kwa mtu wa kawaida anaimudu kuifanyia matengenezo yake yanvyotakiwa. Maana napenda kutunza vitu vyangu viwe safi muda wote.
Habari zenu wakuu. Nimeona magari ford expore na ford escape yana bei nafuu na hata kodi yake sio kubwa sana. Kwa wenye uzoefu na hizi gari vpi kuhusu uimara wake, utumiaji wa mafuta , vipuri na mafundi wake.
Nimetamani kuwa nalo lkn ningependa kupata ushauri wenu wa kina.
Natanguliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.