Ameshakuona we mjinga umeshindwa kujiamini na kusimama kama mwanaume, usimpende sn mwanamke mpaka akuone huwez kufanya chochote kwake...... Mzingue kuwa tayar hata kuachana naye mpaka akuheshimu, huwez kuishi na mwanamke kwa kumbembeleza mda wote
Simba nimeamini kweli ni mbumbu aisee, siri ya ubingwa wenu ni majeraha ya kikos cha Yanga na ukata ulioko hapo.... Yanga ikiwa vizr kifedha hata Rais wa Tff awe manara yanga wanachukua ubingwa
Mwambie aende peke yke kwa yule mganga aliyetengeneza huo uchawi , kingine aende kwa watumishi wa Mungu waliosimama hasa anaweza kupona..... Pia wewe mwanamke mpumbavu hii dhambi itakutafuna mpaka kaburin
Hujamkomoa mwanaume umejikomoa mwenyewe tu kwani hyo papuchi ni yko raha na karaha unapata wewe na naamin hyo mmeo hajakukuta bikra,,, we tumika tu lkn kumbuka kuna magonjwa
Kutana na nyoka wote lkn sio hyo , kwanza ukikutana naye anakutiasha kwa kwa sauti fulani hivi ole wko uiname kuchukua kitu umpige umekwisha but ukisimama tu bila kufanya chochote anakuacha na kuondoka zake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.