Inasemekana jamaa alishuswa na bodaboda na akaenda kwenye kibanda cha askari pale kwenye makutano kama vile ana shida.
Akachomoa bastola na kuwauwa askari wawili, askari mmoja akapigwa risasi kwenye bega.
Akachukua silaha za wale askari akawa anatesa nazo.
Lakini kwanini iwe maeneo yale...
Baada ya kuanza kulipia kodi ya majengo kwenye mfumo wa LUKU, watu wengi hapa jamvini wamekuwa wakipost screenshot au mtiririko wa sms waliyolipia LUKU ikionyesha makato.
Kitu walichosahau wakati wanatuma hizo screenshot au mtiririko wa malipo, ni kwamba wameanika LUKU meter number zao kwa kila...
Rais John Pombe Joseph Magufuli anaendelea na kampeni kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa tarehe 28 Octoba 2020.
Mimi kama mwananchi wa kawaida, naomba nitoe angalizo kuhusu kutumia helicopter kama usafiri afanyapo kampeni.
Wana anga wanasema rate ya helicopter kupata ajali ni kubwa ukilinganisha...
Heri ya mwaka mpya.
Kama mzazi, nawiwa kukinzana na ulazima wa mzazi kununua uniform za shule kwenye shule ambayo mtoto amepata nafasi tena kwa bei kubwa.
Kwa wale wazazi au walezi ambao hawasomeshi watoto shule za private, mchezo upo hivi!
Mwanao ukimpeleka shule ya private na akatahiniwa na...
Habari za leo wanajamvi.
Nimepanda ndege kwenda kumuona mama yangu kwa sababu anaumwa, umri umeenda na hataki kutoka kijijini kuja kutibiwa mjini.
Kuna jamaa zangu naona wanatoa manenooooooo kwamba nafuja hela. Acheni hizo rafiki zangu, niache nimuuguze mama.
Na mwache kufuatilia maisha ya...
Kumekuwa na matukio mengi ya kutekwa na kati ya matukio mia moja, inawezekana waliyorudi salama ni wawili au watatu akiwemo Mo Dewji. Tukumbushane rules chache kuhusu utekaji na hasa swanasiasa.
Rule no. 1 Uikubali kupelekwa sehemu yoyote na watekaji hata kama wamekuonyesha bastola au kisu...
Kwa sababu leo, bei ya bia ni nusu bei kwa wakaazi wa jiji la Dar es salaam baada ya Taifa Stars kumfunga mwenye bomba la mafuta, basi tunaomba wale tutakaokunywa bia na kushindwa kufika kazini, kesho iwe sikukuu.
Kwa wale ambao tupo Mwanza, tunaomba leo msitoke majumbani. Mkamate mke wako ili...
Kwanza nitoe pongezi kubwa sana kwa rubani wa ndege ya ATC No. TC103. Huyu rubani mzungu ameonesha yeye sio risk taker. Hii ndege imeshindwa kutake off mara mbili na akaamua kuirudisha kwenye parking ili aweze kufahamu tatizo.
Hii ndege ilikuwa iondoke hapa Mwanza saa nne kasoro usiku huu wa...
I am very discouraged. Highly discouraged. Nilitumai viongozi wa dini wangetoa kero za waumini wao barabra. Kero hizi zilitakiwa zilenge mwenendo wa uchumi na uhusika wake na ziegemee matatizo ya waumini kuhusu kipato.
Ama kweli! Hakuna hata kiongozi wa dini mmoja ambaye alishukiwa na mungu au...
Nimeamka mapema leo, na kabla ya kutoka kitandani, nikawa nawaza watu mbali mbali hapa duniani wanaopitia masaibu tofauti tofauti.
1. Wazazi waliokuwa wanategemea kumzaa mtoto mzima lakini baada ya mama kujifungua, madaktari wanawapa taarifa kwamba wamezaa Mtoto mlemavu - Kama humjui Mungu...
Kwa yeyote anayetarajia kugombea urais 2020, aidha nje ya kijani au ndani, chukua huu ushauri.
Ahidi kurudisha fao la kujitoa, lakini pia pindua ile 25% papo hapo na 75% ukiwa umefariki.
Declaration of interest.
Nampenda sana Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan. Ana haiba ya kipekee kama mama na kama mwanamke. Nikimtizama na jinsi anavyozungumza fikira ya kwanza ambayo huwa inaniijia sio ya Makamu wa Rais bali ya mama. Nafasi zote mbili...
Mwanajeshi wa Korea Kaskazini mwenye umri wa miaka 24 kwa jina la Oh, amenusurika kifo baada ya kupigwa risasi 4 kati ya 40 zilizolengwa kumuua.
Oh, ambaye kwa sasa yupo hospitali Korea ya Kusini anaendela vizuri na matibabu baada ya kufanyiwa upasuaji zaidi ya mara nne. Oh, alipoteza nusu ya...
Pole na Majukumu ya ujenzi wa Taifa Mhe. Rais
Nina ushauri mdogo kwako kama kiongozi wangu wa Nchi, na nishukuru mitandao ya kijamii kunipa hii fursa.
Naomba nijikite kwenye swala la "MTU MMOJA" kumtolea bastola Mhe. Nape siku alipokuwa akutane na waandishi wa habari.
Nilikuelewa ulivyosema...
Nimekutana na hizi clips kwenye mtandao na inawezekana wengi wetu tumeshaziona.
Ombea mfanyakazi wako wa ndani siku zote ili awe na utulivu wa moyo na nafsi.
Nimeikuta hii taarifa ya upotoshaji iliyorushwa tarehe 8, Januari na kituo cha K24TV nchini Kenya. Tizama dakika 0.49
Vyombo vya habari inabidi viwe maakini kuhakiki taarifa zake. Nashauri Tindu Lissu, awasiliane nao ili wasahihishe hii taarifa.
Kuna jamaa yangu tunafanya naye kazi alipatwa na kisa cha kuibiwa hela zake kwenye ATM.
Baada ya uchunguzi na taarifa za msichana wake pamoja na kumbukumbu kidogo, iligundulika mara ya mwisho alikuwa baa na akaja jamaa mgeni akakaa kwenye meza aliyokaa. Baada ya muda wakazoeana na jamaa mgeni...
Hakika Dar imebadilika kwa kipindi kifupi.
Naelewa Agha Khan ni mojawapo ya hospitali nzuri nchini, na hasa Agha Khan ya Dar.
Ni muda mrefu sasa tangu wazibe kwa mabati parking zao. Wanasema walikuwa wanaboresha parking.
KWA SASA HIVI UKITAKA KUPARK MLE NDANI UNATAKIWA ULIPIE elfu 1,000 kwa...
Nina miezi kadhaa sipo Dar kwa sababu ya majukumu ya kikazi.
Niliporudi, juzi kati tulienda sehemu na mama watoto, nikawa natoa hela kwenye mtandao. Kuna wazee walikuwa wamekaa pembeni kama kawaida nikawasabahi na nikaendelea na yangu.
Baada ya kutoka pale mama watoto akaniuliza. Hivi watu...
Poleni na Majukumu.
Sina nia ya kuendeleza mjadala unaohusisha tuhuma za Mke wa Balozi Mahiga kumtukana askari na baadaye Rais Magufuli kutoa agizo huyo askari apandishwe cheo, lakini natoa angalizo kwa yale yaliyonikuta pale taa za Namanga kama unaelekea kulia kwenda msasani.
ANGALIZO 1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.