Search results

  1. Q

    The Radar Scandal: Investigation & Progress

    Yasema si mali ya serikali KAMPUNI ya BAE Systems ya Uingereza iliyoiuzia rada Tanzania, haimilikiwi na serikali ya nchi hiyo, ubalozi wa Uingereza mjini Dar es Salaam umesema. Taarifa iliyotolewa jana na ubalozi huo, na kutiwa saini na ofisa wake wa habari, John Bradshaw, inaikana kampuni...
  2. Q

    Tanzania: Vyeti bandia, elimu za kununua na watumishi vihiyo

    Mzee mwanakijiji, tunashukuru sana kwa jitihada unazozionyesha, hakuna maneno ya kiswahili yanayowezesha kufikisha shukrani hizi, ila mwenyezi Mungu ndiyo atakujalia katika yote unayofanya.
  3. Q

    Matatizo ya Tanzania na mapendekezo ya wana JamiiForums

    hii hotuba imenikumbusha enzi za mzee mwinyi, unajua ccm ni watu wa ajabu sana, ukisoma hotuba zao ni nzuri kweli na za kuleta matumaini, lakini wanakuja kufanya mambo kinyume kabisa na yale wanayo aihidi, hii hotuba mzee mwinyi amejitahidi kuonyesha kuwa ccm ni chama progressive lakini walicho...
  4. Q

    Matatizo ya Tanzania na mapendekezo ya wana JamiiForums

    mr brutus, thanks a lot!
  5. Q

    Matatizo ya Tanzania na mapendekezo ya wana JamiiForums

    kama itawezekana tunaomba mtu aweke na MKUKUTA na MKURABITA ili tuweze kuisoma, inawezekana tukapata majibu huko.
  6. Q

    Iran yajaribu kupitisha Uranium Tanzania!

    jasus, your very right there. viongozi wetu afrika wameuza uhuru wao na sasa inabidi waongee yale tu ya kuwafurahisha watu wa washington dc.
  7. Q

    Serikali yawatelekeza wanafunzi 29 Ukraine

    message deleted
  8. Q

    Utekelezaji wa kutangaza mali za viongozi wa umma

    mzeeshughulibwana, naona unataka kutupotezea malengo. hatuhitaji kujua mali zako unless uteleze kuwa wewe ni kiongozi wa serikali, ushauri mzuli, delete hiyo message, acha watu walete hizi information, ni muhimu kwa records.
  9. Q

    Matatizo ya Tanzania na mapendekezo ya wana JamiiForums

    hoja ni nzuri, bila ya kuzunguka zunguka, nianze kuelezea ninachokitaka kwa tanzania yetu MAHITAJI YA MSINGI 1.TUNAKA MAKAZI BORA 2.HUDUMA BORA ZA MAJI SAFI NA SALAMA 3.HUDUMA BORA ZA AFYA 4.UMEME WA UHAKIKA 5.AJIRA ZA UHAKIKA MAHITAJI MUHIMU 1.TUNAHITAJI HUDUMA ZA USAFIRI AMBAZO NI...
  10. Q

    Mkapa above the law?: Allegations

    mwanakijiji hii ni nzuri sana na tunakuhaidi ushirikiano wote unaotakiwa, sasa wakati wa mkataba wa IPTL(walio sign MOU) wahusika walikuwa hawa Rais alikuwa ALLY HASSAN MWINYI Waziri wa mipango alikuwa HORACE KOLIMBA waziri wa nishati na madini JAKAYA MRISHO KIKWETE waziri wa fedha...
  11. Q

    Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

    ndugu watanzania, kwa mtazamo wangu, ili tuweze kupata maendeleo ya kweli tunahitaji kuwa na characteristic fulani ambazo ni "uncomprimise". we need to set goals and to explore ways/methods to archieve those goals. once those goals are set and the best method/way is determined,in other words...
  12. Q

    Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

    jasus na mzee shughuli bwana nashukuru kwa maneno yenu ya kunitia moyo, mimi ninachosema hapa viongozi wetu wenye nia nzuri na taifa letu lazima tuwape sifa wanazostahili hata kama mafanikio yao hayaonekani moja kwa moja. baba wa taifa pamoja na kuwa hakuweza kututoa kwenye umaskini alikuwa na...
  13. Q

    Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

    mgonjwa wa ukimwi, unajua mimi ninapojibu hoja najaribu kuangalia factors nyingi na ninakuwa abstract na wakati huo huo nina acha space for you to digest more, mfano umekuja na kusema kuwa ujamaa ni siasa ya darasa la saba blah blah..., wakati mwanzoni mwa message yangu nimegusia kuwa wenzetu...
  14. Q

    Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

    mgonjwa wa ukimwi, hapa umenivuta hata na mimi niliyekuwa pangoni, kwanza ningependa kukufahamisha mwishoni mwa mwaka jana kulikuwa na seminar nchi moja ya ulaya ikijadili kuhusu siasa ya ujamaa na azimio la arusha, actually walikuwa wanaangalia ni jinsi gani wanaweza kuchukua mambo waliyoona...
  15. Q

    Je, wapinzani ni wakombozi?

    Mwanakijiji sasa unaishiwa kabisa, to the extent kwamba sasa unataka tushawishike kuwa mfumo wa chama kimoja ndio suluhisho la matatizo yetu, Hiyo nchi unayoishi hapo Marekani unaona jinsi democrat wanavyo critisize republican, bado hujapata somo lolote kutoka marekani, basi ni bora urejee...
  16. Q

    The Only Thing We Have to Fear is Fear itself

    mwanakijiji, unaelewa maana ya mabadiliko? halafu mabadiliko yenyewe tunayopngelea hapa ni mabadiliko ya mfumo uliodumu kwa takribani miaka 45! lazima ujue kuwa sio kazi ndogo, ni kazi ngumu sana, na ni watu wachache sana katika jamii zetu huwa wana courage ya kuleta mabadiliko katika jamii...
  17. Q

    The Only Thing We Have to Fear is Fear itself

    Mwanagenzi, naona hukusoma habari kamili au ulikuwa unataka kupotosha jambo kama ilivyo jadi yenu angalia hii quote hapa ya mbowe. habari imeendelea kwakumalizia hizi habari hata mimi nilizipata kutoka kwenye reliable source of information na zaidi ilikuwa kwenye kura za wabunge...
  18. Q

    Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

    safi sana, ni nani amewaweka hao wachaga hapo, ni freeman mbowe au ndesamburo? sasa unahamia tra, endelea bwana, huko tra mimi siwajui kabisa! chinga tukubaliane kitu kimoja wewe umeathiriwa zaidi na mitazamo ya kikabila,kidini na chuki zisizo za msingi. maendeleo binafsi yanaletwa na juhudi za...
  19. Q

    Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

    chinga, kwa taarifa chadema imejitolea kusomesha wanafunzi waliokosa mikopo vyuoni, hiyo habari mbona haukuileta?
  20. Q

    Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

    hili si swali rahisi kulijibu mwanagenzi, watu wanamalengo tofauti, ila moja wazi ni kuwa wapo wanaotumia nafasi ya siasa ili waweze kurahisisha biasha zao ,mfano kusafiri nje ya nchi kwa urahisi na kufanya biashara kwa kukwepakwepa kulipa kodi, hawa ni oportunist. na watu kama hawa mara nyingi...
Back
Top Bottom