It has 2000 followers
It is good for anything that u want to post...
Sorry:I can't indicate pc or screenshot or more info here bcoz jf regulations prohibit anyone to post fb page or any link related to fb or other social media
If you are interested check me on watssap 0759 432 654 or pm
Thank...
Huu ujinga wa kulipia unachosha tukiwa analogia tulikua tunaenjoy sanaa maana channel full raha yaani sahivi kiukweli hamna jipya badala ya kuenjoy ni kilio tu
Turudi tu analogy
Analogy ilikua raha sana jamani sio siri wengi wetu ni mashahidi
Hatuenjoy digital kabisa kama nchi nyingine
Kuna tetesi kuwa madudu ya mkataba kati ya TBC na startimes kwenye utumizi wa mitambo yataanikwa soon.
Hawa wachina wajiandae kisaikolojia tu
Inafurahisha sana wachina zamu yenu ya kunyooshwa imewadia
Mwenye makubaliano kati ya startimes na TBC kwamba walikubaliana nini atuwekee hapa au...
Nashauri kwenye madini tutumie mfumo wa kijamaa serikali ianzishe makampuni yake iajiri watanzania madini yachimbwe serikali iyauze tupate faida.
Bila hivyo tutaishia kulia tu
Wawekezaji hawa hawana faida yoyote kwetu zaidi ya kodi tu
Uwekezaji ni kama mtu aliyepanga fremu ya biashara anailipia...
Wana bodi,
WanaCcm tunapitia katika kipindi kigumu sana cha majaribu ikiwemo kupoteza washirika na wanachama. Kuna taarifa ambazo sio rasmi kuwa kutokana na huyu muuza madawa manji yanga wengi wameamua kuhama ccm kwa hasira na uchungu. Najua tunapoteza wanachama maelfu kwa malaki ila tusihofu...
Wanabodi,
Mimi ni mwanaccm kwa muda mrefu.Najivunia kuwa chama cha mapinduzi kwa kuwa ndo chama kilicholeta umoja mshikamano na uhuru wa taifa hili
Ninasikitishwa sana na hizi hujuma dhidi ya chama chetu hazikubaliki.
Kuna watu na magenge wanakiharibu chama chetu kama kina makonda na wenzake...
magufuli kaza uzi ww ndo chaguo letu
Chadema mwaka mmoja mmeisoma namba na bado mtanyooka
ccm mbele kwa mbele
mungu akubariki jpm
chadema mwasambaza uongo kuwa maisha magufuli hali imeimarika sana kwa wakati huu viva jpm viva ccm
kidumu chama cha mapinduzi
Serikali iko wapi? Wabunge mko wapi? TCRA mko wapi, local channel mpaka ulipie?
Serikali kimya, Nape nae kimya!
Wabunge tusaidieni, kwanini tulipie mpaka TBC??
wakuu nisaidieni nina memory ya gb 8 ila tatzo imeharibika inaniandika MEMORY IS BLANK najaribu kuERASE lakini inagoma haisomi hata kwenye simu kwamba ipo
nifanyeje ama.nitumie app gani????
Nasoma chuo flani hivi Arusha nahitaji kazi ya aina yoyote kwani nipo
chuo, kazi hiyo iwe ya weekend ama baada ya masomo coz chuo maisha magumu, kazi yoyote nahitaji jamani imlimradi nipate pesa ya kutumia tu.
Nipo Arusha
Kazi yoyote please
Njoo pm
Habarini wakuu,
Usiku wa kuamkia leo nimeota nakimbizwa na ng'ombe nakimbia kila mahali lakini ananifuata. Je kuota nakimbizwa na ng'ombe ina maana gani?
mwenye kufahamu chuo chochote cha ualimu arusha na moshi chenye ada nafuu ambayo ni chini ya laki 8 kwa mwaka
nataka kusoma diploma in primary education
pls nisaidieni
Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa amigo mwimbaji wa jahazi modern taarab ndiye mfalme mpya anayemrithi mzee yusuff baada ya mzee kuacha mziki
Anasubiri tu kutawadhwa rasmi kuwa mfalme wa jahazi na mfalme wa taarab kwa ujumla
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.