Wale wenzangu tulio maliza elimu ya msingi mwaka 1987 hapa DSM, Mtakumbuka kulikuwa na mwalimu maarufu sana kwa kufundisha tuition pale uhuru mchanganyiko. Anayefahamu habari zake hivi sasa atujuze tafadhali. Anaitwa mwalimu Njowoka.
Nina laki nne tu, naweza kupata lap top nzuri mpya kwa kiasi hicho? Je, ni aina gani ya lap top ambayo haina usumbufu unanishauri niitafute? Naomba ushauri wako.
Hivi mnakumbuka huyu muheshimiwa aliwahi kutoa amri ya katazo la ununuzi wa magari hayo bila kibali chake? Sasa hilo gari lilinunuliwa kwa kibali cha nani? Serikali iache unafiki.
Hivi hujui kama kuna aina tofauti za mapacha? Kuna mapacha wa jinsia tofauti, kuna wa jinsia moja ambao wako aina mbili (wanao fanana, wasio fanana) Hawa uliowaleta hapa ni wale wa jinsia moja wasio fanana. Umenielewaaaaaaaa!!!!
Nakushauri jaribu kuanzisha kampuni yako ukiwa ndani ya ajira, nenda nayo taratibu ukipima upepo. Ukiona mafanikio yapo then ruksa kuacha kazi na kuelekeza nguvu zote kwenye kampuni yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.