Nashukuruni kwa ushauri mkuu, leo kama kawaida niko hapa, kuna bwana mmoja ni mfanyakazi wa Nssf, mrefu ana makengeza sijui position yake ila anachokifanya ni kuzunguka akiona anayelalamika kidogo anajifanya kumsaidia ila anatengeneza mazingira ya rushwa. Ngoja nielekee PCCB, ila sijui kama...
Kumekuwa na hali ambayo haieleweki, watu tumefungua madai ya Mafao tangu November mwaka jana, lakini hadi sasa tunakaribia mwezi April ukienda unapigwa tarehe tu, mimi mwenyewe binafsi sasa ni mara ya nane napigwa tarehe, ukiomba kwenda kwa Meneja wanakukatalia, na hii inaonekana ni usanii wa...
Plot kwa ajili ya biashara inahitajika kwa ajili ya biashara. Iwe njiani Maeneo ni kutoka mjini kupita njia ya Moshono hadi maeneo ya chuo cha Mandela. Au maeneo ya kuanzia Sanawari kuelekea Moshi.
Kipo kwenye kiwanja chenye ukubwa wa mita 20 kwa 20.
Kiwanja hakina hati.
Umeme upo mita 25 hivyo ni sehemu isiyohitaji nguzo.
Maji ya yameshaingizwa ndani na plumbing ilishafanyika
Ina bedroom 2, moja ni selfcontained
Sitting room iliyoungana na dining
public toilet na bathroom
Ipo Arusha maeneo ya kwa mrefu, kama mita 300 kutoka barabara kuu ya Moshi-Arusha. Na ukiwa unatokea Moshono ni kama mita 600 kutokea Moshono stand au Club ya WORLD GARDEN. Haipo katika...
Ni kweli beinakaribia kuwa hiyo. Maana mimi nilinunua kwa 524,000/= na float ya 300,000/=. kwahiyo hiyo ni kama mtaji wako. Si kweli kwamba inafanya huduma zote hizo, kwani M-pesa hakuna, tigo pesa hakuna. ila wanasema kila siku wataanzisha ila naona kama ni story tu. Kuhusu kwamba unaweza...
Mkuu labda ungeweka details zaidi, kama vile kiko umbali gani kutoka barabara kuu, nyumba iliyopo imejengwa na tofali gani, kama kina hati, sababu ya wewe kuuza na bei ikiwezekana.
Mkuu nashukuru kwa ushauri, nitafanya hivyo nitakapoonana nae maana yeye kwa sasa yupo Moshi na mimi niko Arusha. ila ni kwamba si kiwanja, ila kuna nyumba kabisa na inawapangaji ya fremu za duka kumi na mbili.. Kama unaijua Moshi kidogo iko Chaga street karibu kabisa na stendi ya Maili sita. ni...
Nina ndugu yangu ana miliki nyumba katikati ya mji wa Moshi tangu miaka mingi iliyopita. Ila kwa maelezo yake kwa sasa Liz imekwisha na ametakiwa na Manispaa kujenga Ghorofa. Yeye mwenyewe hana uwezo kujenga Ghorofa na pia hayuko interested kuuza. Alitaka kama angeweza kupata either shirika au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.