Nadhani jibu lipo hapa. umeshasema ni suala la utamaduni tena wa ajabu. Naongezea kuwa familia uko nayo nyumbani siku zote ila washikaji hauko nao.Ikumbukwe siku hizi watu hawapendi kuwaalika marafiki nyumbani hivyo kudumisha utamaduni uliousema.
Sidhani kama hayo ya kuzuia wizi ndio majukumu ya msingi ya hiyo idara ya usalama. Labda kuna sehemu hatuelewi au tunachanganya mambo. Ninavyofahamu kila taasisi ya serikali huwa na kitengo cha Ukaguzi wa ndani (internal audit) ambacho ndio kina jukumu la kukagua na kubaini kama kuna vitu haviko...
Hatoi majibu kwa kuwa kichwa cha habari kinajieleza, someni chote jamani....nanukuu
Nimegundua mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanamke mwingine
Ulivyoandika kichwa cha habari utadhani waziri ummy ndio amestukia hiyo ishu...Ukweli ni kwamba hayo ni maelekezo ya makamu wa Rais wakati wa ziara yake Ukerewe, lilipoibuka suala hilo katika mkutano wa hadhara na ndio akawataka waziri wa afya na tamisemi wafike ukerewe kufuatilia suala...
Mi nahisi hiyo ndege ilikutwa na kitu kinaitwa aerodynamic stall dakika chache kabla ya kutua kutokana na kupungua kwa airspeed kutokana na kuzunguka mara mbili kabla hali ya hewa haijaimarika maana ni rahisi rubani kupunguza umakini wa kubalance airspeed hivyo wings kuacha ku generate lift na...
Umejibu vema sana kuhusu kuvumiliana....Kwa nini nawe usimvumilie huyu "Mwanaume ambaye hanipi attention japo kidogo, yupo busy busy, hakutafuti hadi umpigie mwenyewe, usipomtafuta ndiyo imeisha hiyo, hadi nakua najiuliza am i his babe au jirani yake? Yaani kama mimi ndiye mwenye shida naye sana...
Kama hiyo stori sio ya kutunga basi ichukulie kwa mawazo mapana...wanawake huwa wanapenda kuwini kama wako perfect au waaminifu kwa ishu kama hizo.Kuna mambo ya kujiuliza kabla ya kutenda,jee huyo ni mwanaume pekee aliyemtongoza toka muwe pamoja au na wengine wanaomtokea huwa anakuambia au kaona...
Airport ya kagera ipo karibu kabisa na ziwa....ndege inapotua inatokea ziwani yaani juu ya maji na inaporuka inaruka kuelekea ziwani.Kwa hiyo kama alikuwa anatua basi lazima atokee ziwani kwa runway ilivyokaa
Kama unaujua uwanja wa ndege wa kagera njia ya kutua, ndege inatokea ziwani kuja nchi kavu. Na ndege inaporuka inatoka nchi kavu na kuruka uelekeo wa ziwani. Kwa hiyo kama alikuwa anatua kuanguaka ziwani ni kuwa alianguka nyuma ya runway.
Ndugu mtoa mada sio kila kitu ni ujuaji tu kwa sababu bando lipo....inaonesha wabongo tuko wajuaji sana kwa kila jambo hata yale ya kitaalamu...Ndege sio mtumbwi ambao mtu anachonga tu gogo analiingiza ziwani...Ndege hadi kuruhusiwa kuruka tena kubeba abiria ni kuwa imeidhinishwa ubora wake hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.