Tuesday, August 02, 2016
DC TUNDURU JUMA HOMERA AWATIA MBARONI VIONGOZI WANNE KWA TUHUMA ZA KUUZA VIWANJA BILA UTARATIBU.
Mkuu wa Wilaya Tunduru Mhe. Juma Zuberi Homera, amewatia mbaroni Viongozi wanne wa Serikali ya vijiji kwa kosa la usimamizi mbovu wa ardhi katika Vitongoji vya Umoja na...
DC TUNDURU ATOA MATUMAINI KWA WANANCHI WAKE
Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mhe. Juma Zuberi Homera akizungumza na wananchi wa kijiji cha Msinji kata ya Ligoma, Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma.
Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mhe. Juma Zuberi Homera akipokea risala toka kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji...
MKUU WA WILAYA TUNDURU ATAFUTA MWAROBAINI WA KUMALIZA MGOGORO KATI YA WAFUGAJI NA WAKULIMA
Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mhe. Juma Zuberi Homera akizungumza na Wafugaji wote wa Wilaya ya Tunduru katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru.
Wafugaji wa Wilaya ya Tunduru wakimsikiza kwa...
Hoja sio ipo, kumbuka hapo hiyo taarifa imekuja baada ya watu kuanza kusema hata uwepo wake ni wa mashaka. Me nafikiri tujadili kwanza weledi wa waandiishi wetu wa habari hapa nchini manake tangu wasifiwe wanaandika chochote kinachopita mbele yao. wataalamu wamesema ipo, anaibuka mtu hana hata...
hivi wewe kaka hauna mshipa wa aibu?au uko marekani ulikokaa wazungu walikukata kamshipa mbona form four unashindana na darasa la kwanza halafu anakufunika?we usimwaibishe mzee malecela bwana na wagogo kwa ujumla unawahaibisha ..unaandika vitu hata havina mashiko?linapokuja suala la nchi...
Taarifa ya habari waziri Mkuchika anasema mwenye majina ya watu wenye fedha Uswiss wampelekee na kahaidi kutowataja kuwa wamempatia majina hayo kala kiapo cha kutunza siri.
Hivi kweli amefikiri kabla ya kuongea au au ndio media aonekane kaongea nae? maana waziri Mh. Membe alisema majina...
MH BASI KAZI IPO...SERIKALI INAKAZI SANA HAPO. hapo watu roho juu sipati picha nawewe si utaje jina kamili la huyo muhusika H.G SIO KUTUPA NUSUNUSU.MUNGU IBARIKI TZ
wewe aliyekutuma kuangalia ni nani tuachie vijana maji ya moto tuangalie..kwani tusi ni nini hapo condom ni tusi?kujaaliw kama punda ni tusi kwako kwasababu una corrupt mind ila mtoto atajua ni wannyama tu wa huko mbugani wamejaaliwa kupendwa..
mh dogo hujaaanza kusoma PL USHAKUWA GREAT THINKER HUKU JAMII JE UKIJA MALIZA CHUO SI UTAKUWA UNAMEDANI YA DHAHABU HUMU JF?ILA DOGO JITAHIDI UKIENDA SHULE UKASOME MAANA INAONEKANA UMEPANIA SANA..VIPI UMEPATA EDUCATION COURSE GANI?
hekima ni muhimu katika kila jambo hasa ambapo kabla ujaongea unafikiri kwanza..wa malawi wanaweka watafiti wakuchimba mafuta viongozi wanakurupuka eti tuko tayari kwa vita baada ya kuwa tayari nao kuchimba mafuta...aibu wao wanaenda kisomi zaidi hawana kelele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.