Naomba kufahamu, katiba yetu inaongelea Ofisi ya CAG au mtu aliye teuliwa na kuapishwa kama CAG!!? TWENDE VIZURI WENGINE hatujui tofauti ya ofisi na personal!!
Ameandika Kada wa CCM #Bollen_Ngetti
KAMA madai ya Lissu yatathibitika pasipo kuacha shaka nitahitimisha kwa imani kwamba Makao Makuu ya Mamlaka ya Shetani yako Tanzania na mawakala wake! Nitaamini kuwa Mhimili wa Ibilisi unafanya kazi duniani kutokea Tanzania. Lakini pia nitatamatisha maandiko...
"...........Ni dhahiri ndio sababu Mungu aliacha kuwatuma malaika kumuokoa Lissu na badala yake akaingilia Kati yeye mwenyewe mzima mzima........" Na Bollen Ngett
Hakika ni muujiza wa aina yake!
Ninapoisikia sauti yako na kusoma maandiko yako (TL) tangu ulipopigwa risasi trh 7/9/2017, nabubujikwa na machozi ya uchungu sana na siku yangu uharibika Kabisaa! Lakini sina namna ila kuendelea kukusikiliza, kukusoma na kukuombe kwa Mwenyezi Mungu upone na kuimarika zaidi na zaidi, na mwisho...
Mhhhhh! Mambo yanasikitisha sana! Kwa nini lakini! Kauli ya Mh. Spika, bila kumung'unya maneno, na kwa haki ya mwenyezi Mungu, imejengeka katika mtaji wa ujinga wetu wtz! Hakika, imekuwa na nia ovu ya kutuadaa watz! Mimi sijapenda hili! Mwenyezi Mungu aliyetusikiliza kumponya Lissu wetu, yeye...
Nadhani siku ya leo haitapita hajatumbuliwa! Kwa tuhuma hizi alizozieleza Gwajima! Haponi. Na kwa namba Mh. Rais wetu avyofanya kazi! Huyu bwana Leo mwisho wake.
Sioni sababu ya wewe kutoka jasho kuandika utetezi huu wakati mhusika mwenyewe yupo! Mh. Aajitokeze aweke documents zake chini tuanze episode nyingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.