Rv 4 kil time inauzwa
Bei ya mwisho ni 15m
Engine ni 3s (ya japan)
Transmission-manual
Ipo kwenye hali nzuri na haina tatizo lolote
Pm kwa details zaidi
Below is the ranking of African countries by the literacy rate. This entry includes a definition of literacy and Census Bureau percentages for the total population, males, and females. There are no universal definitions and standards of literacy. Unless otherwise specified, all rates are based...
Uhuru Kenyatta calls for common East African Community Tourist VisaBy In2EastAfrica Reporter
KAMPALA, UGANDA: President Uhuru Kenyattahas said East African Community ( EAC) member states need to move fast to put in place a conducive investment environment that will attract foreign and...
Kwa mlolongo wa matukio yanayoendelea kwenye taifa la sasa ni dhahiri kuna udhaifu mkubwa kwenye serikali maana chochote wanachosema hawaaminiki tena,
Raisi haonekani kuonyesha msimamo thabiti juu ya kukemea maovu yanayoendelea kwenye taifa. Wanaofanya maasi dhidi ya upinzani (ambao serikali...
CCM inahusika
• Tamko la Mchungaji Mtikilla laibua utata mpya
na Mwandishi wetu
Soma palipo na red
MAZINGIRA ya kabla na baada ya tukio la mlipuko wa bomu lililotokea mkoani Arusha katika mkutano wa kampeni wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), uliofanyika wiki...
Baada ya kuona response ya ccm baada ya Polic kuwahoji Lema na Mbowe, This is my take;
Inaonekana waliwatumia Polic kutaka kujua kama kweli cdm wana huo mkanda au vipi ndipo wapange next move,
Sasa baada ya kusikia kwamba cdm wamesema kwamba hawana, next move yao ikawa ni
1. Mwigulu kunena...
My take kwa uchunguzi wa bomu hili unavyoendelea;
Uchunguzi huu unazunguka tu wagonjwa na viongozi wa chadema
Hii ni dalili kubwa kwamba huu sio uchunguzi bali ni jitihada za kuficha uhalifu,
Huwezi kusema tukio limetokea toka juzi na hadi leo polici wanahangaika kutafuta wagonjwa na wabunge...
Zamani nilikuwa naheshimu mtu akiniambia yupo ccm japo nilikuwa upinzani ila kwasasa nikisikia hivyo nahisi mtu huyo atakuwa either anatatizo la psychology au ni njaa tu. Sijui wadau wengine
NI DHAHIRI CCM IMEAMUA KUANZISHA VITA KUPITIA HIZI CHAGUZI. WAKULAUMIWA KWA YATAKAYOTOKEA NI WAO
SOMA HAPA;
Chaguzi zageuzwa ulingo wa damu
Risasi, mawe, mikuki, vyatumika
na Waandishi wetu
YUMKINI hali si shwari tena nchini, baada ya jana chaguzi mbalimbali za kuziba...
Malawi government has protested against plans by Tanzania to deploy two passenger vessels on Lake Malawi (known in Tanzania as Lake Nyasa) .
In a formal protest letter to Tanzania against the reports presented in their National Assembly that they want to deploy two passenger vessels on the...
Nimekuwa nikijaribu kufuatilia picha
ya mtuhumiwa wa ugaidi Arusha bila mafanikio, labda kuna mlio nayo mtuwekee.
kama haipo basi yapo maswali mazito.
Tumeshuhudia picha za watuhumiwa hasa yanapokuja matukio ya kitaifa kama haya. Si tu ndani bali nje ya Tanzania.
Huyu mtuhumiwa...
Hapo zamani palikuwagepo na simba aliyejulikana kama mfalme wa wanyama wote porini. Siku moja aliamua kumtembelea Sungura aliye julikana kuwa mwerevu na mjanja sana kule porini. Basi, simba alipofika nyumbani kwa Sungura mjanja, sungura akatoka akamkaribisha akae. Simba akakataa kukaka...
Ndugu wanajamvi, kuna vitu ninavyojaribu kutafakari na sijaweza kupata majibu sahihi juu ya taifa lilipo na linapoelekea.
Haya ni baadhi ya maswali:
Taifa hili limejengwa kwa juhudi za kuunganisha tofauti mbalimbali na tunaweza kumkumbuka aliyeasisi hilo. Je kipindi hiki nani wa kupewa sifa za...
Kwa wenye uzoefu na ununuzi wa flat screens na furnitures Dar naomba mnipe uzoefu wenu wa duka ambalo lina fare price but quality products nilizozitaja. Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.