Kwa ninavyofahamu ni kwamba RC hana Mamlaka ya kuamlisha vyombo vya Ulinzi na Usalama kufanya jambo lolote. Hakuna Sheria inayompa Mamlaka hiyo. RC Bashite alikodi wapi wale waliomsindikiza kwenye utekaji wa kituo cha luninga?. Askari waliomsindikiza RC Bashite walivaa sare za mojawapo ya...
Ameandamwa na lipi ambalo alifanya kwa haki? Ni kazi ya wananchi kuwatetea viongozi wao kama wanatenda kwa haki lakini ni jukumu la wananchi wenye mapenzi mema kumkosoa asipotenda kwa haki. Je unatuhamasisha kumtetea ili mradi katetewa? Utakuwa msaada sana kama utaonesha maeneo ambayo rais...
Ni nguvu ni kitambo tu, hata yeye atapita. Afanye jino kwa jino au jicho kwa jicho au chuma kwa chuma vyote vinapita tena vinapita haraka kuliko unavyoweza kudhani. Huyo unayemshabikia inamfaidia nini kutweza utu wa watu? Na je wewe unafaidika nini unapoona mwingine anateseka kwa sababu ya kuwa...
Tunaongozwa na kipofu wa kuona na kujua maana ya Taifa lenye upendo, amani na utengamano. Kwake kuumiza ndiyo furaha yake, hakika Tanzania inaelekea kutumbukia kwenye shimo baya la utengano na mifarakano yanayobuniwa na Mkuu wa Nchi, aibu kwetu na ole kwa waliotufikisha hapa.
Mtu akirudia ufahamu wake shuruti apewe sifa yake, haijalishi jana alisemwa vibaya lakini kama anaonekana sasa akili zimemrudia ni muhimu akapewa haki yake kwa kupongezwa. Siku zote kuna Ubaya na Uzuri, kwa ubaya wasemwa vibaya kwa uzuri wasemwa vizuri na kupongezwa.
Je mtu kuwa Asset anatakiwa asiwe "mrembo?, Mnyange?, Mlimbwende?" Sifa za mtu kuwa Asset kwenye Chama ni nini? Je walio Asset mbona hatuwaoni mkijitokeza kusaidia Taifa lisonge kutoka hatua moja hadi nyingine? CCM waliona nini kwa Wema hata wakamtumia kupiga kampeni na kuambatana na mtu mkubwa...
Hizi ndizo mbegu alizopanda mheshimiwa Daudi Albert Bashite, ni haki yake sasa kuanza kuvuna. Kuna wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna. Tunamtakia mavuno mema kwa kazi ya mikono yake mwenyewe
Udhalilishaji wa wanawake wa kimakonde, kelele zao ulizisikia wapi kama hukuwa sehemu ya wanaosababisha kelele kupigwa? Tuoneshe mchungaji tapeli na malaya kwa evidence ili tukuamini. Kama hamna evidence na wewe utaonekana huna maana.
Hakika wewe ni kiboko, kila kitu unapinga bila kujadili hoja. Hebu jaribu kujadili hoja kwanza n kisha onesha msimamo wako. Je wewe unalishwa na rais kwa sababu ni wa dini yako. Ni muhimu kama wadau kubadilishana uelewa wa jambo linawekwa mezani kwa kujadili ubaya na uzuri bila kukimbilia kuunga...
Uongozi ni kazi ngumu, ni kazi inahitaji muda na kujitoa kweli kweli katika kuhakikisha kwamba Taifa linafika kule ambako wote kwa pamoja tunaamini ni muhimu taifa lifike. Maeneo ambayo kwa pamoja kunamakubalino bila kujali ni nani anachanganua vizuri zaidi ni kama yafuatayo:-
1. Wote tunahitaji...
Mwanahalisi ya leo ina headings zifuatazo: Malipo ya Salma utata., Takukuru mshauri wa CCM, Pia kuna makala ya Ndimara Tegambage inasema: Kikwete, kura na watuhumiwa ufisadi, Joster Mwangulumbi anachambua: Kinana mwongo au Msahaulifu? Mbasha Asenga anauliza: Kwa mabango haya, hofu au JK...
Umepungua kwake kwa sababu kodi zetu zinamhudumia yeye na familia yake. Lakini nje ya hapo, sioni kama haya anayosema ni ukweli. Ulimi ni kiungo kidogo lakini matatizo yake makubwa. Kwa maneno ya ulimi viongozi huwa tayari kusema hata yasiyo kweli, lakini ni kwa aslahi ya wenyewe.
Hakika hata yeye ni msomi asisubiri kufanyiwa kazi. Wenzio wamefanya kazi wanakupa taarifa hutaki kuamini, sasa njoo na utafiti wako uweke mezani tuudadavue. Argue with facts in hands not just words. Hii itatusaidia kutoamini taarifa zingine ambazo wewe utathibitishia jukwaa kwamba sio za kweli...
Kijana endelea kutetea ulaji wa familia Ikulu. Hii ndiyo kampeni ya nyumba kwa nyumba ili baba, mama na watoto wabaki Ikulu. Kweli Ikulu kutamu. Hebu hakikisha unaacha mshiko wa kumtoa mwalimu angalu kwa msimu mzima. Angalia alivyochoka kwa maisha magumu, kitanda ndiyo hicho. Angalia dada Hasna...
Kyela na Mbeya yote anasubiriwa kwa hamu kubwa. Vijana na Wazee wote kwa pamoja wanataka kumwona Dr.Slaa. Hakika mabadiliko yanakuja.Kyela wanasema Rais ni Dr.Slaa na Mbunge ni Dr.Mwakyembe. Mungu amjalie afya na nguvu ya kumaliza kazi hiyo ngumu Dr.Slaa
Ndoto ndiyo mwanzo wa uhalisia. Asiyeota kwa mambo makuu hafikirii na mtu asiyependa mabadiliko hata siku moja. It only who think the possibilities who are ready to embrace changes in their life, for those who live in their "reality" realm never dream for change, for them change is the threat...
Karibu watu wengi wlibebwa kwa magari na daladala zilikodiwa kariakoo ili watu waende kwenye mkutano. Hakuna aliyekuja kwa ridhaa yake hapo, kilicho wapeleka ni njaa, kwai walipewa wengine 20,000 na wengine kutegemea ujanja wao. Madereva teksi walikuwa wanpewa kila mmoja elefu 20,000 na kuwekewa...
Michuuzi na aelewe kwamba saa ya mabadiliko imewadia na hawezi kuuzuia kwa kutoweka picha za matukio ya Dr.Slaa. Akubali matokeo na ili blog yake iwe ya watu wote ni vema akazingatia balance. Dr.Slaa songa mbele hata wabane wataachia tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.