Yesu mwenyewe anasema imetupasa kuomba bila kuchoka, Mungu kupitia nabii isaya anasema tumkumbushe, tujadiliane atupe haki yetu.
Wewe unasema tunakosea? Hii imekaaje?
Aisee umenikumbusha hii siku, na namkumbuka sana Marehemu Michael (R.I.P) nitaeleza kuhusu marehemu Michael hapo mbeleni.
Basi, ilikua siku za kawaida tuu, mwaka huu nilikua bado mwanafunzi maeneo ya Mjini kati. Kwaiyo nilikua na urafiki wa karibu na Marehemu Michael ambaye baadae...
Kimsingi ni kwamba DINI sio sawa, na zaidi Mungu wa hizi dini wanatofautiana Big time.
Waislamu Mungu wao hana nafsi Tatu. Sasa huwezi sema Dini zote sawa au zinafanana.
Boss.
Kuna ushauri hapo juu kuhusu mwanamke uliye naye unamtamani? Yani kakaa kimatamanio? Au ushamchoka?
Mimi niliwahi hisi ninatatizo Kama lako[emoji28][emoji28][emoji28] nikamchana mshikaji wangu akaniambia acha ufala, em jaribu Kazi ingine, nilipoenda nje mambo yakawa moto.
Lesson...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.