Tofauti ya Biblia Takatifu na Quran ni kuwa Biblia Takatifu inabeba ujumbe uliopewa watu mbalimbali na Mwenyezi Mungu kwa njia mbalimbali, katika maeneo tofauti kabisa lakini ujumbe ukawa ni ule ule. Watu hawa waliopewa ujumbe huu walishuhudiwa na jamii yote kwani Mwenyezi Mungu alijidhihirisha...
Wanawake wanaongozwa na mihemko, ndio maana upendo wao ni kama mshumaa. Zile factors zilizomfanya apende leo zikiondoka ama zikija bora zaidi anapoteza upendo kirahisi tu. Hili wala halihitaji tochi wala imani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.