Nakubaliana kabisa na wewe mkuu hapa. Msaada mdogo tu ninaoweza kumpa Jk na chama chake ni kutoka katika nukuu za mwanafalsafa mfaransa 'Montesqeu wa mambo ya katiba na utengemano wa nguvu za dola(yaani dola, mahakama na bunge). Nukuu hii aliitoa karibu miaka 250 iliyopita na alisema hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.