Search results

  1. 3

    Mamlaka husika inashindwa vipi kupanga mji wa kisasa Goba?

    Hivi halmashauri ya Manispaa ya UBUNGO ina sababu gani ya kushindwa kupanga mji wa kisasa wa GOBA? Hii nchi ina watumishi wa ajabu, nafikiri ofisi ya ardhi Ubungo hawajui hata kinachoendelea Goba.
  2. 3

    Mitsubishi Outlander

    Wakuu heshima kwenu, Nahitaji kununua hili gari,mwenye uzoefu au taarifa zake anishauri, Ina matatizo gani hasa na spea zake zinapatikana?
  3. 3

    Suzuki escudo 2wd ,cc 1790,(2006),naomba uzuri ,ubaya na changa moto za gari hili,

    Wakuu wakali wa haya mambo naomba msaada wa kwa anayelijui hili gari vizuri, Anishauri ama nilichukue au niachane nalo!! Asante
  4. 3

    INTERSTATE TOURS inahitaji watu wawili tu.

    Interstate tours ni biashara ya huduma za kitalii ndani ya tanzania na nje ya Tanzania, Biashara hii inahitaji watu wawili wenye sifa zifuatazo. 1.marketing and events organizer competence(mtu wa kwanza) 2.Information and technology competence(mtu wa pili) Wenye sifa hizi nitumieni ujumbe wenu...
  5. 3

    Ushauri: Ama Rais wa Tanzania aende DRC Congo au Rais wa DRC Congo aje Tanzania kupeana mikakati ya uongozi na biashara.

    Rais wa sasa wa DRC Congo, Felix Tshisekedi anatokea kabila kubwa la wafanyabiashara,Kabila la wakasai,asilimia kubwa ya mizigo ya wakongo wanaoingiza mizigo kupitia bandari ya Dar es salaam ni wakasai wanaoishi Lubumbashi,Katanga na Kasai. Kwakweli kuwapoteza wafanyabiashara hawa ni hasara...
  6. 3

    Tour campsite: Watu wanne walio serious tuanze hii biashara

    Tanzania biashara ya utalii na madini hazijatendewa haki kabisaaa. Sasa nahitaji watu wanne au zaidi tuanze na campsite moja kabambe ambayo itakua mfano Tanzania ikiwezekana Dunia nzima. Wekeni namba zenu za simu hapa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. 3

    CRDB Pugu road ifungwe tu maana wafanyakazi wake ni wazembe

    Wateja tumekaa hapa,halafu bank tellers wote hawapo,madirisha saba yote temporary closed, Crdb mnaaibisha
  8. 3

    Playstation 3

    Mwenye playstation 3 naomba aniuzie...
  9. 3

    Tuache utani,sera ya kodi si rafiki kwa mfanyabiashara wa Tanzania wala mfanyakazi

    Wakuu ukitembelea nchi kama Namibia,Senegal,Botiswana,zambia utagundua kua kufanya biashara Tanzania ni kupoteza muda mana sera ya kodi Tanzania ni mbaya sana,yaani tanzania unalipa kodi ambayo inakata mpaka mtaji,kwa upande wa watumishi nchi za wenzetu ajira ni huduma ya jamii siyo kazi,kwahiyo...
  10. 3

    Tetesi: Inasemekana Bunge la Tanzania limekosa mwelekeo

    Watu mbalimbali na kwa nyakati tofauti, wanasema Bunge letu kwa sasa halijui wajibu wake, wabunge hawajui wahoji nini na hawajui wamwajibishe nani, wamekua ni watu wa kutoka nje na kusema ndiyo, hata hivyo wabunge wengi hawajui wananchi wao wanataka nini. Mpaka sasa wabunge wasasa hawana...
  11. 3

    Shirika la Ndege Tanzania sijui kama litahimili biashara

    Nimepiga hesabu zangu hapa,inaonesha kwa siku watu 400 tu ndo hupanda ndege ndani ya Tanzania. Nikachukua idadi ya ndege zilizopo tanzania,nikachukua hali ya uchumi mtaani..nikapata majibu kua ndege itakua inapata abiria wasiozidi 15 kwa siku...sasa je kwa abiria 15,shirika litaweza kujiendesha?
  12. 3

    Vyama vya wafanyakazi mko wapi?

    Mpaka muda huu kuna threads zaidi ya kumi zilizoanzishwa leo na wafanyakazi wa serikali,wanalalamika sana,inasemekana mambo yao ya mishahara haiko sawa,mana waliahidiwa kuongezewa mapema mwezi huu wa saba. Hebu jetokezeni simameni mbele ya wafanyakazi enyi viongozi wa vyama vya wafanyakazi.
  13. 3

    Watumishi wa serikali kulimia Meno sasa.

    Mtu kaajiriwa mwaka 2012,mpaka leo 2017 hajapandishwa daraja. (2017-2012=5).sheria za utumishi zinasema kila baada ya miaka 3 tu mtumishi anatakiwa apande daraja. Nasikia toka mwaka 2016 hakuna nyongeza yoyote ya mshahara. Kwa mantiki hii nathibitisha kwamba waajiriwa wengi wana uwezo mdogo...
  14. 3

    Mtazamo: Mungu na Shetani ni vitu vya kusadikika

    Habari Wakuu, Napenda kuwakumbusha watu kuwa Mungu hayupo na shetani hayupo. Kwahiyo watafakari upya dhana ya dini na imani. Nashukuru.
  15. 3

    Wafanyakazi hapo vipi?

    Wafanyakazi wa serikali hasa wale wa Tamisemi,vipi haki zenu za kisheria mwaka mmepata? Wahasibu hapo vipi? Madaktari hapo vipi? Maafisa kilimo hapo vipi? Walimu hapo vipi? Wengine endelezeni..
  16. 3

    Watumishi wa serikali wengi elimu hawana ila wana vyeti.

    Haiwezekani mtu una elimu kuanzia diploma mpaka phd lakini unaendelea kulia lia mbele za watu eti serikali inaninyanyasa haitaki kunilipa stahiki zangu mara mishahara mara likizo mara kupanda cheo n.k. Kama kweli una elimu ndani yako toa masharti (ultimatum )kwa mwajiri wako,akishindwa kutimiza...
  17. 3

    Kiongozi wa upinzani nchini atangaza kuunda serikali mpya ili kuondoa utawala uliopo Rwanda.

    Kiongozi wa upinzani nchini Rwanda, ametangaza kuunda serikali sambamba na utawala uliopo Rwanda, lakini itakayokuwa ikifanya kazi nje ya nchi. Thomas Nahimana ambaye ni kasisi wa zamani anayeishi nchini Ufaransa ametangaza kuunda serikali hiyo itakayofanyia kazi uhamishoni. Katika mazungumzo na...
  18. 3

    Tunaotaka kwenda Zambia kuangalia fursa tukutane hapa

    Taarifa nilizonazo japo sina uhakika mpaka nitakapofika Lusaka kuthibitisha ni kwamba... Azam (Bakhlesa) peke yake zambia ndo anauza.. 1.Ice cream 2.chapati 3.nazi 4.Juice fresh. Kwa maana hiyo mzee Bakhlesa ni mtaalam wa kuona fursa. Sasa basi kama wewe ni kijana na unaweza kuthubutu ungana...
  19. 3

    Hali ya mazao ya nafaka si nzuri.

    Kwakweli hili swala la mvua za mwaka huu kama serikali haitalipa uzito wa juu,jamani mwaka huu sijui kama watu watamudu kula hata mara moja kwa siku mbili. Naomba kiongozi yoyote wa serikali Apande gari kuanzia...
  20. 3

    WAAFRIKA NA LAWAMA

    Mtoto anamulaumu mzazi kwa kushindwa kumuwekea mazingira mazuri ya kupata utajiri, Mzazi naye anailaumu serikali kwa kushindwa kumuwezesha ili amuwezeshe mwanaye. Serikali nayo inaamua kulaumu nchi zilizoendelea kushindwa kuiwezesha ili iwezeshe watu wake. Mwisho wa siku waafrika tunakua ni...
Back
Top Bottom