Wale wahenga wanakumbukua ile story ya mnugu aliyekutwa Arusha miaka ya tisini. Alikuwa analima bangi kumbe alikuwa fugitive. FBI files wanasimulia mkasa wake jamaa alikuwa gang leader in states. Crew member wake alishaingia FBI mjengoni akapoteza askari watatu.
Kutokana na facts zilizopo katika hii video. China is seriously fighting a losing battle.
US wanahitaji cheap labor na manufacturing
China anahitaji soko la US na kuendelea kuiba technology.
Kweli mwenyezi mungu hakupi kila kitu. Haya ndio maisha ya Mzee milionea McAfee baada kuzibuka na utajiri kupitia bidhaa aliyoinzisha mwenyewe McAfee Antivurus.Huku akisisitiza kudhulimiwa na corporate world.
Sent using Jamii Forums mobile app
Japan’s new marine unit in East China Sea upsets Beijing
Japan on Saturday commissioned a brand-new unit of its Self-Defense Forces (SDF), its first such specialized marine detachment for amphibious warfare since World War II, to be deployed on islands extending over 1,000 kilometers from...
Nimesoma taarifa ya AU kuwa wanamtaka aombe radhi kuziita nchi za Africa na baadhi ya nchi zauko pacific shitholes countries. Hivi akikataaa mtafanya nini. Sababu za kukataa anazo
Moja wapo ni budget ya AU inategemea pia sehemu ya Msaada wa USA.
Maoni yangu !
Tunachotakiwa kufanya tuige...
Kutokana na kauli ilyotoka kwa serikali ya ufufaji na kurudisha umiliki wa asilimia 100 wa kiwanda cha matairi.Serikali irudi na kufanya tathmini namna ya kufufua kiwanda cha uzalishaji wa mafuta cha Tiper. Ukizingatia kisayansi asilimia kubwa ya uzalishaji wa matari unategemea by products za...
Nikiwa kama Mtanzania mwenye hasira na hii nchi. Ningependa kutoa angalizo juu ya serikali ijayo kuweza kuunda mamlaka rasmi ya maafa na uokoaji kutoka na nilicho kishuhudia baada ya ajili ile ya chopa. Bila kuangalia itikadi yeyeto ile jaribio la kwanza la hayo mabadiliko lianzie kwenye usalama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.