Aisee hivi mmenotice? Sijui ni hapa tu au ni kote kuwa Ice cream za Azam hazipatikani kipindi hiki cha mwezi wa Ramadhan kwa hawa wanaotembeza.. aidha sina uhakika na ice cream shops zake sijui kama ziko open. Kama hazi operate, nimejifunza kitu.
Tuwe serious na kumtafuta Mwenyezi Mungu.
Katika kuperuzi peruzi kwenye google map nimeshtushwa kuona mpaka na jina la ziwa Nyasa vikionekana kama nilivyoattach hapo juu. Hii imekaaje wadau? Naomba mamlaka husika itupe ufafanuzi. Nawasilisha.
Kama kichwa kinavyojieleza, naomba mni-pm mawasiliano ya J. Nature kwaajili ya shida binafsi. Zaidi ya yote ni moja ya wasanii wakongwe ninao wakubali sana.
Leo wakati naangalia mechi kati ya Aston villa na Chelsea, nikapata mihemko ya mpira nikadunda ngumi kitandani pembeni yangu, kumbe! nilikuwa nimeweka pc sikuiona, matokeo yake imevunjika screen ndani kwa ndani, rangi zimetawanyika, imepata kama kifafa hivi- maandishi yanacheza cheza.
Wapi...
Wapendwa hivi shalo tina tina maana yake nini?
Nimekuwa nikisikia haka ka msemo bila kufanikiwa kujua maana yake. Maeneo nilipo sikia ninapokumbuka ni kwenye baadhi ya mashairi ya nyimbo za wasanii wa kibongo mfano Ngwair (RIP), Mchizi mox, n.k
Tafadhali mwenye kujua maana au chanzo cha msemo...
Habari wakuu, naomba kujua ni gari gani zuri (kwa maana ya kufika kwa wakati na huduma nzuri) la safari za Mbeya hadi Mwanza. Sipendi kuunga unga safari kwa maana ya kuishia Dom then niunganishe, hapana, nataka la moja kwa moja. Haijalishi kama litakuwa ni luxury au la, nnachotaka ni safari ya...
Ee bwana najua kila kabila wana nyimbo zao ila za hawa watu zimekuwa nyingi mno! Kuna jamaa yangu huwa anajishughulisha na kazi za u-DJ, aliwahi kuniambia akialikwa kutumbuiza kwenye sherehe zao, asipopiga nyimbo zao ama akijichanganya kupiga sijui Kwangwaru sijui Masozi basi halipwi!
Tatizo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.