Hayo yote uliyoyataja sio sahihi na si tu kwa wanandoa bali kwa watu wote wenye uhusiano/udugu flani. Ila hutokea. Na ukweli ni kuwa hutokea kutokana na sababu fulani kubwa zaidi nyuma yake... Hivyo kuepuka ni vema wanandoa wawe wepesi kuchunguza nini chanzo kamili cha hayo unayoyataja kutokea.
Wakuu kuna wimbo wa zamani kidogo 2005 kurudi nyuma, Juma Nature alishirikishwa, kaimba kiitikio; "maisha tunayoishi ....ni ya kimkanda mkanda, chakula bei zinapanda,... ingawa ni magumu lakini tunaishi Mungu yupo Mungu yupo..."
Mbado (bado):
Mnanisema vibaya kwa kusimamisha basi,
Na pale ni porini ni vema nikawa wasi.
Basi ya kwanza mesimamisha ikanipita kabisa.
Nikaona nikae bararabani kabisa.
Basi ya pili kaja mefunga breki kali.
Dereva na abiria wote wakawa wakali.
Masai ngekugonga..haya unakwenda wapi,
Aaah...
Kujutia baada ya kujichua inaweza kutokea kwa sababu ya hisia za hatia, tamaa ya kubadilisha tabia, au kutokana na imani za kidini au kitamaduni ambazo huona tendo hilo kama lisilofaa au la kimaadili.
ChatGPT
Sasa kuna vijiji hata hicho chumba tu cha kupanga hupati! Bei za vitu vidogoo kama viberiti/chumvi zipo juu! Huduma muhimu za jamii hakuna! Vyakula hakuna, vikiwepo ni aina moja tu mnagombania kijiji kizima! Ulevi wa pombe ni vijana wote kijiji kizima tena mnalewa na kuongea kilugha kabisa! Hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.