Kwa wale waliotazama mfululizo wa sinema tatu (Trilogy) za The Lord of the Rings (The Fellowship of the Ring, The Two Towers na The Return of the King) wataona kuwa CCM imekuwa ikitishia watu kama mzimu wa Sauron. Watu watapambana lakini akifika Sauron majeshi yote yanaangukia mikononi...
Wadau mabibi na mabwana,
Naomba mnifanyie thathmini ya kazi yangu katika video hapa chini. Ni tangazo fupi la TV. Sijahusika kutengeneza sauti katika tangazo hili, nimehusika katika visual part.
Ningependa tathmini iangalie uhusiano wa matukio na message husika, pia uzuri kwa maana ya beauty...
Wakuu nitapata wapi kitabu cha hadithi "Adili na Nduguze"? Nafikiria kutengeneza filamu yake in 3 to 5 years from now. Nikipata kitabu cha "Kisa cha Hassan-li-Basir" nitafurahi pia. Nilivisoma zamani na ninadhani filamu zake zitakuwa nzuri kama zikiandaliwa kwa ubora.
Nimesikitishwa sana na kauli ya Mzee Mwanakijiji ya tarehe 5 November, 2010 saa 3:05 asubuhi: "Angalizo kwa wana JF - Lugha ya matumizi ya nguvu haina nafasi" ambayo katumia muda mwingi kujaribu kujenga hoja kuwa katika ulimwengu wa waliostaarabu lugha "zinazochochea matumizi ya nguvu" hazina...
Wakuu, kumekuwa na posts nyingi kuhusu mwenendo wa Upigaji kura. Hii inasababisha tunashindwa kufuatilia matukio vizuri. MODS wamesaidia kidogo katika hili. Ukiingia katika Forum ya UCHAGUZI TANZANIA 2010 iliyopo front page ya JF, ndani yake kwa juu kuna Sub-Forum mbili. Moja ni kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.