Mie pia ninacho, na mama yangu pia anacho, na mdogo wetu pia anacho, me nadhani ni cha kurithi coz hata ww inaonekana mwanao pia karithi, kwa me nishakizoea, ni cha kawaida sio rahisi mtu kunigundua
tulikutana facebook, he poked me, i poked him, he requested me as a frend, i accepted, then wall 2 wall, inbox 2 inbox, online chat, then changing relationship status, ndio kama ifuatavyo
tulikutana facebook, he poked me, i poked him, he requested me as a frend, i accepted, then wall 2 wall, inbox 2 inbox, online chat, then changing relationship status, ndio kama ifuatavyo
inakuja error ile ile mkuu , c unajua haya mambo ya IT cyajui ndio maana kusolve tatizo inakuwa ngumu, ss hv umeme umenikatikia , ila kesho nitakuinbox hizo codes zote unipachikie
kwwa taharifa yako hiyo picha ilipigwa enzi za ze utamu ila mange aliiweka kwenye blog yake ili kunogesha story, ndio, happy na koku walipigana ila hiyo sio picha yao ,,,,,,,,,,,,
natumia blogger, error inayokuja ni
Your template could not be parsed as it is not well-formed. Please make sure all XML elements are closed properly. <br/> XML error message: The markup in the document following the root element must be well-formed.
Error 500
kuna blog nimefungua , iko fresh, jana ktk kucheza cheza kwny web zingine nikakuta 100% Free Hit Counters for Your Website. 100's of Styles to fit your Site. Keep track of your sites page hits and unique visitors FREE! nimefuata maelekezo yote mpk baadae nikatumiwa codez ambazo niliambiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.