Dah najickia vibaya kuona tumefkia hapa mpaka mtu anamkashifu Yesu kristo yan Mungu mwana cjui itakuwaje cku mwsho kwa maana yy alisema hakuna atakayekwenda kwa baba (yan Mungu) bila kupiti kwake sasa ww endelea kumkashifu na kutomtambua kama Mungu ilhal cku ukifa ukamkuta amekaa kuume kwa baba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.