Kitengo cha kutoa liseni cha Manisipaa ya Temeke jitafakari maana naona hamuendani na kasi ya JPM.
Ikiwa nimelipa kodi ya mapato na kupata tax clearance toka TRA, nikaja kwenu na kulipa ada ya liseni, mbona mnakuwa wasambufu kutoa liseni?
Ukishalipia unaambiwa njoo kesho. Unaenda kesho yake...
Ndugu wana JF, naomba kuelekezwa zilipo ofisi za PSSSF, kwa wilaya ya Temeke, au kwa Mkoa wa DSM. Najua humu ndani kuna wanaozifaham zilipo na nitaelekezwa. Ahsanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana Jf, nimekuwa mara nyingi natafakari nichukuwe kanuni gani jinsi ya kuishi ktk maisha, lakini nimekuja kuona hakuna kanuni yoyote. Labda ba ndugu nisaidieni maana:
1. Nimeona wenye haraka haraka wamepata mafanikio,
2. Jamaa walivumilia mwishoni wakaja kula zilizooza badala ya mbivu,
3. Kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.