Lameck bora ufanye hivyo, kwa habari nilizozipata kuna mwenzie kapigwa yupo mahututi na yeye ndie alikua mlengwa kwa bahati kuna watu walimuwahisha polisi.
Kuna wimbi la utapeli wa nyumba limeibuka katika Kata ya Kurasini. Utapeli huo unaongozwa na kiongozi wa chama cha DP bwana Christopher Mtikila.
Inasemekana kwamba bwana Mtikila na kundi lake walisambaza barua kwa wakazi wa Kurasini na taasisi mbalimbali kama makanisa zikidai kwamba watatumia...
Habari wakuu,
Ndugu zangu nina simu yangu aina ya BlackBerry 9800 ambayo nilisafiri kidogo nikaiacha bila kuchomoa betri. Niliporudi nimeikuta simu haiwaki wala haichaji zaidi unawaka taa nyekundu bila kuzima pindi utapoiwasha au kuichomeka kwenye umeme.
Naomba msaada.
Asante.
Wakuu,
Kwa nini hatutaki kufungua akili zetu na kulitazama hili la kujeruhiwa kwa Sheikh Ponda kwa upana? Sijui ni nani aliyehusika kwa shambulio hili lakini ninachoweza kusema Huyu mtu ni mtaalamu kwenye matumizi ya silaha za moto.
Ukijaribu kuzitazama hizo picha za jeraha la Sheikh, hakika...
Hili ni kweli kabisa Mkuu Bulole Bukombe. Na hii haimaanishi kwamba hawana kiu ya kujua ila tu ni kwa sababu ni vigumu kuzipata habari za hao watu. Kama haya mambo yangekua yanapatikana kirahisi hasa kwenye mitandao ingekua rahisi kwa vijana kuyafahamu.
Kwa mfano leo hii nimejaribu sana...
Nakubaliana asilimia mia moja na wanaopinga alichokifanya huyu Dickson Amos Ng'hily, kwa kweli si uungwana kabisa sababu chama chetu ni cha kiungwana. Huyu jamaa amekosa umakini na hajui matumizi mazuri ya muda. Nafkiri hata kwa waliofuatilia wanaweza kusema kwamba hicho kitendo chake...
Mzee kweli hujipangi maana dah!! Hivi vyote unazungumza wewe mbona hueleweki msimamo wako upo wapi? Tuweke ushabiki mbali tuzungumze reality ili tutimize kusudi la JF na si kutetea vyama na upumbavu wao!
''Alisisitiza kuwa kesi hiyo haitahusu sheria ya ndoa wala malezi ya watoto'' Haya ni maneno yalioandikwa na mwandishi wa Habarileo kutoka kwa wakili wa Mahimbo, ............ wa Ubungo kwa CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.