Karibu sana kwenye Kulasa za Dovillen Property
Facebook, Instagram, twitter, Jamiiforums nk
Kama unahitaji kuuza au kununua nyumba, viwanja,yard, maeneo ya kujenga petrol station nk
POSTA,UPANGA, MASAKI, MSASANI, MIKOCHENI, MBEZI BEACH, BAHARI BEACH, UNUNIO, MBWENI, NA DODOMA PAMOJA NA MAENEO...
Karibu kwenye ukulasa wa Dovillen Property.
Kwa mahitaji ya kuuza au kununua nyumba, viwanja,yard, maeneo ya kujenga petrol station nk
POSTA,UPANGA, MASAKI, MSASANI, MIKOCHENI, MBEZI BEACH, BAHARI BEACH, UNUNIO, MBWENI,BAGAMOYO,TANGA, MOROGORO, ARUSHA, DODOMA NK
Wasiliana nasi kwa 0756060183...
HOUSE FOR SALE LOCATION TEGETA MASAIT
NYUMBA KALI YA KIBABE INA VYUMBA V3
MASTER BEDROOM ZOTE
SEBULE KUBWA
JIKO LENYE MAKABAT
NYUMBA NIMPYA
UWANJA UNA QM 1200
PANA HAT SAFI
BEI MILLION 350
Contact..
+255756060183
Sent using Jamii Forums mobile app
Plot inauzwa ipo Upanga
Ni ya pili kutoka beach
Size 1700 SQM
Bei 450,000/= USD
Maongezi zaidi njoo WhatsApp no +255756060183
Karibu kwenye ukulasa wetu wa Instagram kwa mahitaji ya nyumba za kuuza na Kununua, Viwanja vidogo na vikubwa, industry plot, mashamba, nk...
Nyumba ni ya pili kutoka lami na ina vyumba 4 vyote ni self.
Ukubwa wa Eneo ni 4200 sqm
Nyumba ipo kwenye Eneo kubwa na kama inavyoonekana kwenye picha kuna shamba pia.
Hati ipo.
Bei 370m
Maongezi zaidi 0756060183
Sent using Jamii Forums mobile app
PLOT FOR SALE
▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ ▃
Kiwanja kinauzwa kipo maeneo ya Goba - kilometers 2 kutoka njia nne na 1 kilometer kutoka barabara ya lami ya kwenda Madale.
Kiwanja kina ukubwa wa 625 square meter.
Bei kinauzwa Tsh. Milion 10.5.
Umeme upo na Maji yapo
Mawasiliano zaidi 0756060183
Sent...
Maeneo , bagamoyo road mwisho tegeta kuja mjini,mikocheni,moroko mpaka chang'ombe, Mandela Road,pugu road nk
Size isipungue 3000 Sqm
Njoo na ofa yako tukae mezani tuyajenge
Maongezi zaidi 0756060183
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba iko mtaa mzuri na iko karibu na barabara
Vyumba 4 Kati ya hivyo 2 ni self-contained
Na kuna nyumba ndogo ya vyumba 2 kwa ajili ya wafanyakazi na wageni
Ukubwa wa kiwanja ni Sqm 1200
Bei 300m
Maongezi zaidi wasiliana kupitia: 0756060183
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba zipo Mbezi beach, Jangwani beach zimetizamana na Jangwani seabres apartment
Moja ni ya ghorofa na nyingine ni ya chini
Size plot 3500 sqm
Bei Tsh 285m
Maongezi zaidi 0756060183
Nyumba ipo Mbezi Jangwani Beach
Ndani ya eneo kuna nyumba 2.
Ukubwa wa kiwanja ni 3500 sqm
Bei 350m
Panafaa kujenga ukumbi, hotel, bar nk.
Maongezi zaidi 0756060183
Eneo lina ukubwa wa heka moja.lipo goba kabla ya kufika Goba center,mita 300 kutoka kwenye lami na km 4 kutoka Bagamoyo road.
Bei kwa eneo lote 180m
Na pia tumeligawanya kwa plot 4 kila plot 50m na maongezi kidogo yapo.
Mawasiliano na maongezi zaidi chk nami
0756060183
Plot ipo ununio ni ya pili kutoka Lami, size 2500sqm
Na pia ndani kuna nyumba ya vyumba 3 self ingawa ni mjengo wa mda kidogo na pia kuna mabanda ya mifugo kuku na Ng'ombe
Bei 165m
Maongezi zaidi 0756060183
Nyumba ina vyumba 3 vyote ni self
Size plot 600sqm
Usalama upo wa kutosha maana pia nyumba zimejengwa kwenye compound moja ila kila moja ina fence na geti lake
Bei 285m
Maongezi zaidi chek nami 0756060183
Maeneo ya Sayansi hadi Moroko, kiwe kinafesi lami Alhasani mwinyi.
Madhumuni ni kujenga supermarket, ukubwa usipungue 2000sqm
Njoo na ofa yako mezani tujadiri.
Maongezi zaidi wasiliana nami kwa:-
0756060183
Kwa mahitaji ya uuzaji pamoja na ununuzi wa nyumba,viwanja,yard, maeneo ya biashara na makazi nk
Maeneo ya Dar es salaam pamoja na Dodoma wasiliana nasi.
Kwa maongezi zaidi wasiliana nasi kwa +255756060183
Kiwanja kipo goba njia nne kama unaelekea madale,
Kina ukubwa wa mita 25 kwa 25
1.5km kutoka madale Road
Bei 12m
Maongezi zaidi au kuja kuona
0756060183
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.