Ni ngumu sana Mwinyi kuchafuka, ametutoa kwenye Kuvaa magunia na nguo za kaunguza.
Ilikua hatunywi chai sukari hakuna Chumvi inaitwa Dawa ya mboga
Kapokea Nchi toka kuzimu muache Mzee apumzike kwa amani.
Lowasa na Kikwete ulikua mchezo wa kisiasa ambaye hakujua ni Lowasa kwa sababu Kikwete angefanyaje ili Lowasa awe Rais? Awe kama Mbowe mwenye kauli ya mwisho?
Mbona Chadema mlizunguka Nchi nzima na kudai Lowasa mwizi baadae mkajumuika naye na kumpa Urais kwenye serikali ya matumaini. Kuna wanafiki kuliko Chadema?
Kwa hiyo ni kwamba Udini uliingia baadae katika TANU? na kisha CCM? Kwa sasa Maaskofu na Mapadre wamekua na nguvu sana kiasi cha kupeleka Kanisani mambo ya Nchi wanapata wapi mamlaka haya!?
Wewe ni Gaidi Mkuu elewa kwamba Western wanapenda na kuwachukua wakimbizi kutoka nchi za Kiislamu ili baadae wawafundishe tabia zao chafu za ushoga
Wamefanikiwa kuingiza ushoga makanisani sasa wanapambana na uislam.
Ulitakaje sasa kwani hujui kwamba hizo posta ni mali ya Halmashauri na zinakodishwa kwa yeyote?
Ubora wa Israeli kwa Palestine au kinyume chake ni upi?
Kitima alitaka kupima uwezo wa serikali ukweli kitendo alichofanya kusambaza waraka kanisani ilikua ni uhaini yaani kwamba wakatoliki waiasi serikali?
Kwamba Walutheri au Anglican au Moravian au Wasabato changanya na Waislamu wawe watazamaji tu?
Waambieni Wakatoliki ni kosa kupeleka kwenye mimbari za kanisa mambo ya serikali kama kushauri au kukaripia iwe kwa viongozi wao.
Lakini kwa hii sioni afya kwa kweli hebu fikiri kama ingekua waislamu ndiyo wamehusika na hili misikitini mwao ingekuaje?
Zaidi ni kwanini akiingia Muislamu...
Huna haya mangula miaka 87 bado aendelee kuhudumu unataka afie ofisini?
Uzuri Msigwa alishasema ule uongo wenu wa kumchafua Kinana ilikua fix tu mmeanza nyingine hii hovyo kabisa nyie [emoji847]
Matumizi ya dini ndiyo kazi yenu ikitokea Rais katoka kinyume na nyie basi mnakutana kuanzia kwenye vigango tumeiona tangu kwa Mzee wa ruksa Mkwere na sasa kwa Mama hamkomi tu wadini nyie
Mlifungwa midomo watu wanaokotwa kwenye viroba kutekwa kusikoisha bado tu hamshukuru kupata nafasi ya kupumua?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.