Naomba kwa anaefahamu dawa ya kuua wadudu wanaopekecha kenchi mbao jamaa yangu kapaua nyumba yake usiku kuna wadudu wanapekecha mbao atumie dawa gani kuwadhibiti?.asanteni
Habari wapendwa kaka zangu na dada zangu naomba niulize gharama za ujenzi wa nyumba vyumba vitatu uwanja upon Chalinze msoga maeneo ya hospital iwe na master room,2rooms sitting na dining just simple sio complicated pako flat.asanteni maximum niandae kiasi gani
Habar wakuu poleni na majukumu naomba kaka zangu na dada zangu mnisaidie ni kozi gani inalipa ya kusoma hasa ktk geography na ndoto za kwenda shule kusoma masters next year naomba msaada anayejua asanten
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.