Kuna mambo kadhaa ambayo yanaonekana katika hotuba ya rais aliyoitoa UDSM hivi karibuni. Uchambuzi huu unajikita katika kuonyesha picha kubwa kuhusu dhana ya Kilaza. Kwa ufupi dhana hiyo aliyotumia rais inamapungufu mbalimbali ya kisiasa, kiuchumi, kijamii na kiusalama, kitabia na uongozi...
PG Butchery;
tupo Ukonga Banana Relini, karibu tukuhudumie Nyama, Samaki (Sato & Sangala) kwa bei nafuu.
tunapokea Order ya Samaki na Nyama kwa watu wa Hotelini. Wachoma Nyama, Mishikaki, Mama ntilie, Wauza Supu n.k , kwa Mawasiliano zaidi tupigie kupitia +255716109169 au +255755057229. *Huduma...
KARIBU PG BUTCHERY
Pata Huduma ya Nyama nzuri, Samaki (Sato, Sangala), Maini, Nyama ya kusaga, Sausage katika Bucha yetu iliyopo Maeneo ya Ukonga Banana - RELINI kwa Mkorea.
Bei zetu ni nafuu, tutakuletea mpaka ulipo (DAR) kama utachukua kuanzia kilogram 10 na zaidi. Tupate kupitia 0716109169.
Rais wa JMT Dkt. John Magufuli amefuta tukio la Maadjimisho ya UKIMWI siku ya tarehe 01.12.2015 ambayo kutaifa yalikuws yafanyike Mkoa wa Singida.
Je, nini maoni yako juu ya hili?
Hili tangazo la Greyson linaelekeza tu cha kufanya na hiyo milioni 200. Lakini vitanda hivi vinanunuliwa kama sehemu ya utekelezaji wa mradi ambao ulianza muda mrefu wa upanuzi wa mawodi ya wagonjwa. Isingewezekana ununuzi ufanyike ndani ya siku tatu.
By the way sina uhakika kama Tz kuna duka...
Ufaaji hauwezi patikana na kukandamiza Demokrasia, hata yale yasiyohitaji siasa jufanywa kuwa siasa. Deputy AG kusigina katiba sio issue sana kwa Ccm kwa kuwa wao ndio wenye mamlaka na kuididimiza Democracy ndio target yao. Wapinzani wameonesha sana uwepo wa Demokrasia katika vyama vyao na hili...
Bahati nzuri huwa sijadili hisia, najadili issues, nenda kwenye vyama utapewa utaratibu, tunapoongelea maswala ya Taifa ndipo tunatakiwa kuweka tofauti zetu za Kishabiki pembeni na kuungalia Umma ambao una matarajio na Maisha mazuri kutoka kwa Wanasiasa
(a)SHERIA inasema SPIKA anaweza kuwa Mtanzania yeyote mwenye sifa za kuwa mbunge. (Means si lazima awe mbunge)
(2)"Dola" inataka Dr.Tulia awe SPIKA lakini upepo wa Wabunge unavuma kwa Mh. JOB NDUGAI.
(3)Wakati huo huo, SHERIA na KANUNI vinaelekeza kuwa "NAIBU SPIKA" ni SHARTI achaguliwe kutoka...
** NI KWELI RAIS MAGUFULI HAJUI KUWA ANASIGINA KATIBA YA JMT AMA NDIYO KAWAIDA YA CCM?
Tazama orodha ya watumishi wa umma ambao hawaruhusiwi kuwa wanachama wa vyama vya siasa. Ila haiwahusu CCM kwa sababu ndiyo wenye nchi na ndio maana Tulia anadunda tu.
Mojawapo ni Majaji na Mahakimu.
Dkt...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.