Acha umbumbu ndugu yangu...ni ukweli ulio dhahiri kwamba Kikwete alidanganywa(misinformed) at first hand kuhusu uraia wa bashe...na masha kama waziri wa mambo ya ndani yeye ndie mwenye mamlaka ya kutoa 'confirmation' kuhusu uraia wa bashe...post yako hapo juu haina kichwa wala miguu...tafadhali...
Marriage is a contract..and a contract can b valid,void or voidable...contract inakua valid when there is clear consent btwn parties to contract...kwa case hii tuna two parties namely mahimbo and josephine...kwa hiyo kama kuna breach ya condations and warranties then the affected party without a...
unasema 'we will finish it' wewe na nani? Wapi? Na wakati gani? Dont tell me utakuja kumaliza hasira zako hapa Jf...ninaomba ufafanuzi wako kaka mkubwa...
Wajameni let us b honesty movie za kibongo hazina mnato,theme haileweki,hakuna script,hazina mbele wala nyuma...niacheni niangalie mexican soaps kama dont mess with an angel,burden of guilt,saborati na hidden passion coz zinabamba kusema kweli...anaetaka ngoma za asili afungulie TBC Taifa.
Nilisema,ninasema na nitarudia kusema kuwa Dr.Slaa anaelekea kufilisika kisiasa...anajichimbia karibu lake mwenyewe.just imagine ma week mangapi yamepita toka campaign zianze...actualy ni muda mrefu bt cha kushangaza huyu jamaa mwenye Ph.D ya Divinity hanadi sera wala ilani(manifesto) ya chama...
Jamani mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni...EDWARD LOWASSA HAKUFUKUZWA KTK NAFASI YA UWAZIRI MKUU,BALI ALIJIUZULU KUTOKANA NA UTASHI WAKE,BUSARA ZAKE,HEKIMA ZAKE NA UWAJIBIKAJI WAKE...Ni kitendo cha kishujaa ambacho ni viongozi wakuu wachache wangethubutu...for that case I WILL ALWAYS ADMIRE...
Now am tired 2 here nonsense za Dr. Slaa...hana jipya.hana sera.hana mshiko.aniniboa ile mbaya.kwa elimu yangu ndogo ya shahada toka pale mlimani inaniambia kua campaign during uchaguzis(elections) inatoa fursa adhimu ya wagombea kunadi sera zao iwe ni economic,social or development related.pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.