mimi mwaka jana nilienda hapo hapo PSPF, jamaa wa reception akaniambia kama unavyosema, nilikuwa nimefanya kazi miaka 8, nikataka kuondoka lakini baadaye nikarudi nikamwambia nipe nipe fomu, jamaa akanijibu kwa ukali utadhani fedha ni zake, akanielekeza documents za kuambatanisha, nilifanya...
nakubali kwa hilo, lakini sikubaliani na gari kuandikwa "denoted by Deo Filikunjombe" huu ni udhaifu mkubwa kwa mtu kuwa kiongozi wa watu. nahisi anapenda sifa sana ingawa simjui. ludewa ninayoijua hizo ambulance zitapeleka wagonjwa katika hospitali gani? au ile ya Ludewa mjini ambayo huduma...
haka kazee kaseme, ni wapi kwenye biblia inasema watu wauawe kama sio kuzeeka vibaya. lakini kauli zake hizi siku zinakuja atakaposimama katika mahakama kujibu tuhuma za kuhamasisha mauaji. kila jambo baya mshahara wake ni hapa hapa duniani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.